didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Wakuu tuvae Kinga maradhi kama Ukimwi, UTI, Gono yapo kweli tusipuuzie yakaja kutukuta madhara kama nayopitia mimi. Anyway msichana alieniambukiza na ndo huyohuyo mwezi wa tisa mwanzoni napeleka barua kwao nimuoe.