Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTI sugu mzeePole sana ila hujaweka wazi kakuambukiza kipi? U.T.I GONO au kakuunga direct kwenye grid y’a taifa?? 😂😂😂
Mkiambiwa mtulie “nyenyee” nyingi haya kila la kheri usisahau kunywa dawa kwa wakati..!!
Pole sana hiyo itapona usijaliUTI sugu mzee
ni kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindanoKwenye zile CTC washauri ndiyo mnatuambiaga sikuhizi ARV Zina "Sapress" vile vijidudu😂😂 kwahiyo epuka michubuko tu
Acha wajichanganye wajute. Afya ni muhimu sana, tuzilinde afya zetu na tuepuke kuzihatarisha kama vijana.vijana wanajidanganya eti ukimwi wa siku hizi hauna nguvu
😂😂Ana utitiri wa nyuzi za kuambukizwa uti, gono, kaswende.
Mwamba ni professional mgonjwa wa STDs😂