Tuwaanike memba ambao mabingwa wa kuchangia tu lakini hawajawahi kuanzisha thread zao.

Joseverest anazo mada lkn sio nyingi nilivyomuelewa ni wale wasiopenda kuandika mada mara kwa mara mf mwingine ni emmyta nae ana uzi mmoja tu hiyo ni sawa na hakuna tu lkn kwa kuchangia sasa uzi gani emmyta utamkosa
Mmh. Kapeace umeamua kunifukua leo. Hahahaaa.

Huwa sina mzuka kabisa wa kuanzisha uzi halafu sijajua ni kwa nini aisee. Likes na ma msg niliyonayo yote ni ya kwenye nyuzi za watu lol.

Watanisamehe tu kama kuna watu nawachukiza.
 
Mmh. Kapeace umeamua kunifukua leo. Hahahaaa.

Huwa sina mzuka kabisa wa kuanzisha uzi halafu sijajua ni kwa nini aisee. Likes na ma msg niliyonayo yote ni ya kwenye nyuzi za watu lol.

Watanisamehe tu kama kuna watu nawachukiza.
We like you just the way you are.
 
Wengine tuko humu kwa ajili ya kujua na kusoma mambo mengi mazuri
Maana huko kwengine mambo mmmmmh
 
mhn! mimi pia sio mwanzishaji mzuri kwa mwaka naweza weka mada moja au mbili.
lakini sidhani kama kwamba anayeanzisha mada wote wanamichango minzuri kwa mada zao wengine wakianzisha huwaoni wakitetea sasa sisi wachangiaji ndo tunatetea hizo mada.
hivyo sioni tatizo kwa hilo baya nikutochangia kwa muda mrefu.
kama unawatafuta niweke tu kwenye hiyo list yako.
 
Hahah!! rafiki sio vizuri hvyo [emoji1] [emoji1] ila hizo nyuzi za nyuma naomba uzipuuzie maana nilianzisha nikiwa sina akili zangu timamu [emoji12] [emoji12]
Hahahaaa. Sitaki mieee. Ujue nimejikuta nacheka kwa sauti. Lol

Emmy ni mchunguzi balaa kabla hajajiaminisha kitu lazima akipembue kwanza hivyo wala usijali kabisa rafiki. Sababu anamjua vyema rafiki yake Davet ni mtu wa aina gani.

Hivyo ondoa shaka kabisaaa. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hahah!! rafiki sio vizuri hvyo [emoji1] [emoji1] ila hizo nyuzi za nyuma naomba uzipuuzie maana nilianzisha nikiwa sina akili zangu timamu [emoji12] [emoji12]
Ulikua msukule ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…