unachangia sana lakinimvivu san kuandika
Hahaaa factMkuu na wale wanaoanzisha Uzi wa Kiingereza kwenye Jukwaa la Kiswahili then watu tunashindwa kuchangia unakuta view (423), comment (7), Siju vipi, baada ya kupeleka kule international forum upate comment nyingi unaleta mambo ya Chuo kikuu huku kindergaten
Yani unanichekeshaga [emoji3] [emoji3] [emoji3] nakuimagine ulivyo hahahaaa utakua huna hata muda wa kusocialize mda wote serious tu[emoji3] [emoji3]Ni mara kumi hao ambao hawana uzi kuliko huu au ule mwingine wako wa viazi na matunda..yaani rubbish!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]nianzishe Uzi kwani mimi bui bui.....hahaa
oooh yesJoseverest anazo mada lkn sio nyingi nilivyomuelewa ni wale wasiopenda kuandika mada mara kwa mara mf mwingine ni emmyta nae ana uzi mmoja tu hiyo ni sawa na hakuna tu lkn kwa kuchangia sasa uzi gani emmyta utamkosa