Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

hahahaha πŸ˜† haha basi ukinijua nje ya hapa nina aibu kwel kwel hutoamini

Wanaopata kunifahamj nje ya hapa mmoja wapo mshikaji wangu Ms eyes na dada yangu Nourhan
Achana na Mambo ya aibu.....kuwa Kama ilivyo hapa ndio utanoga 😁😁😁
 
Hahahaaa just hope so! But that lady will let you brain suffocate and get drain as well hahahahaa beat it how monster brad he is so who are you to compare you mind with herπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Khaaaa! sasa huo mtihani mwingine tena,,jichangamsheni kidogo Jamani Mwanamme upole ukizidi kweli unaleta ukakasi,unakuwa Kama haujali hivi
Mimi napenda uhalisia na ushirikiano zaidi kwenye jambo lolote lile, Kuongea sana na mwachia mwanamke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Achana na Mambo ya aibu.....kuwa Kama ilivyo hapa ndio utanoga 😁😁😁
nyuma ya kiibodi kila mtu ni mbabe na mjanja ila wengi ukiwakuta kitaa ni waluga luga hatariπŸ˜„
Ila nikipata mbege aibu inatoka kidogo🀣 mbege ikizidi huwa naongea kichaga na kingereza tu kiswahili kinatoka kichwan kabisa🀣🀣🀣
 
Mtupumzishe jaman tuna kazi nyingi za kufanya
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ that’s crazy Manne hahahaa
 
Ha haaa Kuna watu wanaandika Sana ukute nje keyboard ni wapolee Hadi Wana vigugumuzi😁😁😁😁😁
 
Hahahaaa just hope so! But that lady will let you brain suffocate and get drain as well hahahahaa beat it how monster brad he is so who are you to compare you mind with herπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
I hope Clepatina didn't see this and force her to change her mind😬😬
 
Mpe Nini atachangamka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…