joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hao ndio wanawake wanapenda maplayboy na maf*ck boy,ila kuna muda baada ya kupigwa matukio na kuvuka age fulani 30+ huwaga wanawa kumbuka.Hongera dada, huyo ndio husband material na a very good father of your future children's. Wanaitwa ma introvert, na wengi wakigundua hupendi hulka zao basi hukuacha kimya kimya na kutafuta mwingine Kisha utakutana na wanaume nginjanginja mguu wa shingo mguu wa roho miksa ngumi mkononi, kosa kidogo Kofi, mikaripio ya kufa mtu Hadi umkumbuke introvert wako, ukija kustuka na kurudi utakuta ameshawahiwa na mwingine. Kikubwa mzoee na kumkubali alivyo Tena baada ya mda na wewe uta realize Kuwa Kuwa cool person ni very good thing Kisha na wewe utahamia upande wake Ingawa haitakuwa sana kama yeye. Na ukiona hamuendani muache aende for good na sio kumsimanga na kumsema Kwa upole wake, though later you will regret to lose that man.