mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nimetoka nae mbali sana siwezi muacha πAcha kunyapia πππ unasumbua moyo wa Ms eyes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimetoka nae mbali sana siwezi muacha πAcha kunyapia πππ unasumbua moyo wa Ms eyes
Basi vizuri kaza buti finally inakuja ipo kwenye rough road...nimetoka nae mbali sana siwezi muacha π
Aaah, nitamuita Gily akutupie wahuni.ni wewe tu mama usiwe na shaka.....
Eeeeh! Sawa isiwe shidaππHalafu nyie wakaka hebu muende kwenye mpira na siasa mtupishe tumshauri shosti yetu veroos.
Atamind tunamuharibia uzi wakeπ
tusifike hukoπ kama kuna lolote usisite kuja PM, anything for youπAaah, nitamuita Gily akutupie wahuni.
I need youβ€οΈπ₯Ίtusifike hukoπ kama kuna lolote usisite kuja PM, anything for youπ
I'm hereπI need youβ€οΈπ₯Ί
I mean I need some cuddles, umeichosha sana akili yangu kwaajili ya kukuchunga babeπI'm hereπ
Hiyo michezo ya ajabu Sasa unayoitaka.Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida
Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote
Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.
Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.
Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha
cuddles huku hadharani aiseeπ labda ukuje PMπ unanitesa sasa....I mean I need some cuddles, umeichosha sana akili yangu kwaajili ya kukuchunga babeπ
Whatβs bout you do you need someone to be engaged with!Mhhhh!π€π€π€
Niliwai poteza bebez kisa upole....π€£π€£π€£π€£πππππ€π€π€Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida
Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote
Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.
Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.
Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha
hivi despicable me umecheki zote 3 kweli?? πdah what do I do now?View attachment 2626872
I can't eat View attachment 2626869
I just wanna π’ π View attachment 2626870
I want it here darling ππcuddles huku hadharani aiseeπ labda ukuje PMπ unanitesa sasa....