Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Pesa anatoa
Kufunuana anaweza

Emu tuliza ball, huyo anakufaaa.

Mie hivyo vitu viwili akiwa anatimiza ipasavyo, hayo mengine sio shida zangu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo siku hizi hela hamtaki tena?
Kwenye hela hawa watu ni hatari Sana. Kuna mmoja nimejuana nae ndani ya wiki iliyopita kitu Kama Alhamisi, baada ya kuwa single kwa muda nikaona ngoja nipate mtu wa kupunguzia majanga haya. Aisee mpaka Leo ashanilamba Kama kilo tatu hivi. Na bado sijaonesha hata nia ya kumtongoza imebidi nichange gia angani.
 
Kwahiyo siku hizi hela hamtaki tena?
Kwenye hela hawa watu ni hatari Sana. Kuna mmoja nimejuana nae ndani ya wiki iliyopita kitu Kama Alhamisi, baada ya kuwa single kwa muda nikaona ngoja nipate mtu wa kupunguzia majanga haya. Aisee mpaka Leo ashanilamba Kama kilo tatu hivi. Na bado sijaonesha hata nia ya kumtongoza imebidi nichange gia angani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…