Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Nikiona manzi unaongea ongea sana namkwepa sipendi mtu kidomo domo. La sivyo uwe unaongea vya maana sio me nina moja wewe una kumi.
 
Na ww u akaaje na demu anacheat na unajua,alikuona boya
 
Acha zako wewe! Ukigongwa na wewe si inasimama hio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa hadi machozii, mie haijawahi simama, ililala tangu tumboni kwa mama, ko haiamki milele.

Hebu acha uoga naweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata hamjui mnatakaga nini masikini 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…