IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Eeeh! Brodah! Sio kula ule au una kula ndio ule! πππππππKwa hiyo umechagua kula tu ee
Tatizo chama CCM hii kazi na iendelee!ππππππππ
MKuu hauko serious..300k????? Dah pole sana.Bas nimekubali kwamba mimi nina mbinu za kivita sana. ππ.Kwenye hela hawa watu ni hatari Sana. Kuna mmoja nimejuana nae ndani ya wiki iliyopita kitu Kama Alhamisi, baada ya kuwa single kwa muda nikaona ngoja nipate mtu wa kupunguzia majanga haya. Aisee mpaka Leo ashanilamba Kama kilo tatu hivi. Na bado sijaonesha hata nia ya kumtongoza imebidi nichange gia angani.
Hatari sanaa...Noma kweli mshikaji wanguππππ
Mh! Kama mnatupima hivi ni wachache watafaulu mitihani yenu. Kuna txt nyingine alikuwa akinitumia nacheka sana najua kabisa anachomaanisha Ila naamua kumpa ushindi kibingwa.Anakupima nguvu za kiumeππππ....
Ukute wee ndo unachunwaa sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MKuu hauko serious..300k????? Dah pole sana.Bas nimekubali kwamba mimi nina mbinu za kivita sana. [emoji23][emoji23].
Maana kwa experience yangu ni kwamba mpaka umelamba 100k basi nishakuchakata not less than 3 times.
Mnatoaje oesa nyingi hivyo kirahis rahis???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Daah mkuu unajua tunatofautiana mbinu za kivita. Pia Mimi huwa naamini katika ubinadamu zaidi ya mbunye. Mwanzo nilitamani tuwe marafiki then baada ya muda niingize hilo suala lakini kwa speed aliyokuja nayo ya vibomu nikasema wananume tunateseka Sana mamaaae.MKuu hauko serious..300k????? Dah pole sana.Bas nimekubali kwamba mimi nina mbinu za kivita sana. ππ.
Maana kwa experience yangu ni kwamba mpaka umelamba 100k basi nishakuchakata not less than 3 times.
Mnatoaje oesa nyingi hivyo kirahis rahis???πππππ
Trust me mkuu.Mimi sina hela si kama napenda kuwa hiv.so najikuta nalazimika kuwa na mbinu mbadala kukabiliana na changamoto zangu za kipato...300k?? Cant provide that just for fuc*k*n*g pusy..No way.Ukute wee ndo unachunwaa sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
There you are!!! You believe in playing human card...they believe in robbery...300k is armed robbery mkuuDaah mkuu unajua tunatofautiana mbinu za kivita. Pia Mimi huwa naamini katika ubinadamu zaidi ya mbunye. Mwanzo nilitamani tuwe marafiki then baada ya muda niingize hilo suala lakini kwa speed aliyokuja nayo ya vibomu nikasema wananume tunateseka Sana mamaaae.
Mkuu suala la kutoa hela kwa mtu haliingiliani na kipato inawezekana nimempa hiyo 300k kumbe ndio mshahara wangu kwa mwezi mzima. Ni jinsi unaweza kubeba matatizo ya mtu tu.Trust me mkuu.Mimi sina hela si kama napenda kuwa hiv.so najikuta nalazimika kuwa na mbinu mbadala kukabiliana na changamoto zangu za kipato...300k?? Cant provide that just for fuc*k*n*g pusy..No way.
SINA HELA
ILa kwel.unaweza ukawa sahihi.Maana mtu ukimpenda bwana unaweza hata ufe wewe yeye abaki..sema mimi muoga sana haya mambo ndio maanaMkuu suala la kutoa hela kwa mtu haliingiliani na kipato inawezekana nimempa hiyo 300k kumbe ndio mshahara wangu kwa mwezi mzima. Ni jinsi unaweza kubeba matatizo ya mtu tu.
Mtie doleJamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida
Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote
Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.
Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.
Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha