Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Heee shouz mpaka jamaa limekuota lazima ana kitu moyoni juu yako.
Ntakusaidia kukitafuta hadi tukipate tuone ni nini[emoji23][emoji23][emoji23].

Naomba link ya huo uzi dear mi sio wa long humu sijauona[emoji23][emoji23]

Ndo mana nikajiuliza huyu coca hii jeuri anaitoa wapi kumbe msela angu mwenyewe ndo kakupa jeuriiii[emoji23][emoji23]

IamBrianLeeSnr kumbe eeeh?
Ule uzi sijui ulifutwaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu walitema shomboo, watu walitukanaaa balaaaa, na mie nilipoona natukanwa sana nkashuka naye acha nimchambe na kumshushua.

Ilikua hatariiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndyooo sasa unakataa nn? Hadi nkaanza kukuchambaaaa, ukome kuzoea watu hovyo au kukurupukia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila siku ile nilikuchambaaaa uwiiiiiih, na niliku shushua haswaaaa.
Ulishababisha nikawa sina amani pale tu napo ona reply’s zako kwenye uzi wowote naupita speed sana😂😂😂😂😂😂
 
Sasa mie ndo niko serious?? Wee na Clepatina mdumu milele, ntakua MC ktk harusi yenu.

Niichachue vyedii harusi ya Ex wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaah hapo umenena vizuri sana! 😍😍😍😍
 
Ulishababisha nikawa sina amani pale tu napo ona reply’s zako kwenye uzi wowote naupita speed sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapanaaaa usichukulie serious sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nisamehee bureeee wallah.
Sometimes huwa nakuwajee sijuii., nizoeee Ex baba tamuu.
 
Ewaaah hapo umenena vizuri sana! [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Yeaaaah Ex nimekubali kumuachia Clepatina, ila mpe upendo km ambao nilikupa mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], maumivu ya mapenzi ji [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sitaki kiumbe mwingine adondoshe chozi juu yako, nimedondosha mie imetoshaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapanaaaa usichukulie serious sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nisamehee bureeee wallah.
Sometimes huwa nakuwajee sijuii., nizoeee Ex baba tamuu.
Wala usiwaze nilishasamehe siku nyingi sana😍😍😍😍😍
 
Yeaaaah Ex nimekubali kumuachia Clepatina, ila mpe upendo km ambao nilikupa mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], maumivu ya mapenzi ji [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sitaki kiumbe mwingine adondoshe chozi juu yako, nimedondosha mie imetoshaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulidondosha chozi 🤭
Pole sana kwa kukukwaza mtu wangu!
Hata sikuwaza ingekuwa hivi nisamehe wangu😍😍🥰😍😍
 
Ule uzi sijui ulifutwaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu walitema shomboo, watu walitukanaaa balaaaa, na mie nilipoona natukanwa sana nkashuka naye acha nimchambe na kumshushua.

Ilikua hatariiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii ni breaking niuz kwangu ujue shosti.

Ukute jamaa anapenda kina nyie hlf anasumbua kina Tinah bure😂😂
So Yeye ndo alisababisha ukatukanwa???😂😂😂😂
 
Sasa mie ndo niko serious?? Wee na Clepatina mdumu milele, ntakua MC ktk harusi yenu.

Niichachue vyedii harusi ya Ex wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weeee Coca!
True love neva die.Ex gani?Nyie hamuachani nyie😃
Huyo wako wangu yupo katulia ananizoom tu😂😂
 
Yeaaaah Ex nimekubali kumuachia Clepatina, ila mpe upendo km ambao nilikupa mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], maumivu ya mapenzi ji [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sitaki kiumbe mwingine adondoshe chozi juu yako, nimedondosha mie imetoshaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani uniachie makombo shosti😂😂.
Wee endeleeni tu 😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni breaking niuz kwangu ujue shosti.

Ukute jamaa anapenda kina nyie hlf anasumbua kina Tinah bure[emoji23][emoji23]
So Yeye ndo alisababisha ukatukanwa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie natukanwa bila sababu, yeye alisema alichokua anajisikia, wakati huo mie hata sijui km kuna jamaa ananiota na ananipendaaaa, woiiiiiiiii

Yaan badala wamtukane yeye, watu wananijia mie, nkaaamsha kichaa changu cha ungonini,
Wachaa nimchambee na kumshushua huyo Ex hadi hatariii.

Ktk siku niliswampisha JF bas ni ilee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii ni breaking niuz kwangu ujue shosti.

Ukute jamaa anapenda kina nyie hlf anasumbua kina Tinah bure😂😂
So Yeye ndo alisababisha ukatukanwa???😂😂😂😂
Kwakweli nina love kubwa sana moyoni mwangu kwa mtu yeyote ila hisia za mapenzi zipo kwa wanawake 100%

Am real I LOVE YOU Clepatina deep down from my heart ❤️ 🥰
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ameshaniachaa huyooo, kanifukunyuaa wee sahivi amekimbilia toleo LA kwanza, mie wa toleo la 2 ni fake.
Sasa utakubalije akufukunyue hlf akuache na wewe😂😂.
Kama hujui jins ya kuwa king'ang'anizi niambie nikufundishe😂.
Mgande kama luba.
Ukiona tu anasogelea mdada chimba huyo mdada biti.😂.
Kwan ulimtuma aseme kakuota🤣.
Kaona ushafoli inlavu anataka kukukimbia.
Wewe ndo tolea namba moja na namba kumi na moja wake usikubali😂
 
Shouzzz nshakuachiaaa huyo mwanaume na kasema anakupendaa balaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi atuoe wote🤣.
Akisafiri mwiz akija mi naingia mvungun wee unapambana na chori kiume😂.
Akichelewa kurudi safari anakuta natema mate tu ushamsaidia kunitia kibendi halafu akiwepo wote tunajilegezaaa tunajikausha ka pisi kali zisizo na hatia🤣🤣🤣🤣
 
Kwenye hela hawa watu ni hatari Sana. Kuna mmoja nimejuana nae ndani ya wiki iliyopita kitu Kama Alhamisi, baada ya kuwa single kwa muda nikaona ngoja nipate mtu wa kupunguzia majanga haya. Aisee mpaka Leo ashanilamba Kama kilo tatu hivi. Na bado sijaonesha hata nia ya kumtongoza imebidi nichange gia angani.
Ungemwambia Kuna mchongo unausikilizia😀😀Akipiga Tena Unasema Bado subiri wiki ijayo
 
Back
Top Bottom