cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ule uzi sijui ulifutwaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Heee shouz mpaka jamaa limekuota lazima ana kitu moyoni juu yako.
Ntakusaidia kukitafuta hadi tukipate tuone ni nini[emoji23][emoji23][emoji23].
Naomba link ya huo uzi dear mi sio wa long humu sijauona[emoji23][emoji23]
Ndo mana nikajiuliza huyu coca hii jeuri anaitoa wapi kumbe msela angu mwenyewe ndo kakupa jeuriiii[emoji23][emoji23]
IamBrianLeeSnr kumbe eeeh?
Watu walitema shomboo, watu walitukanaaa balaaaa, na mie nilipoona natukanwa sana nkashuka naye acha nimchambe na kumshushua.
Ilikua hatariiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]