Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Mtoe out weekend mtoke wote mwende klabu ama sehemu za watu mchanganyiko kama hatulii vilevi mafundisho kidogo atachangamka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bas bhana mkifika uko ye atachagua penye kagizagiza atatulia huko utamsimulia vyoote utamwonesha vyoote ila ye atakuwa anakenua tuuu kama ndo mchana atavaa kapelo ohooo chezea ukimya wew
 
Kwanini wakina dada mnapenda maisha ya gubu, amani ikitawala mnaona shida. Kuishi kama watoto wa chuo wakati ni mtu mzima, huo upumbavu sijui kwanini hauwatoki hata mkishakuwa watu wazima. Yaani peace is everything!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee! Hapa unadhihirisha ile kauli kwamba mwanamke hajui anataka nini, sema kama unataka wakulugwa utapigwa matukio mpaka utakufa na presha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…