mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kuchi kuchi hotahe na kuruka mateke kunawachanganya😂Wakorea na wahindi wanatutoa uhalisiani sio? 😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuchi kuchi hotahe na kuruka mateke kunawachanganya😂Wakorea na wahindi wanatutoa uhalisiani sio? 😃
Yeah,Hahahah kama yanakuachaga hoi in a good way am glad [emoji4]
Kama ni kinyume chake nisamehe bure Satoh Hirosh
🤣🤣🤣🙌kuchi kuchi hotahe na kuruka mateke kunawachanganya😂
Imeshafika mbona😂, sharti uwe na utulivu mambo ya kutaka mawili Moja litakushinda.
Haya majibu ya kikauzu itakuwa ninayo kweli manake naambiwa hivyo miaka na miaka humu dadeq!Yeah,
In a very +ve way. Una majibu ya kikauzu Kama avatar yako. By the way Mimi Ni mpole Kama wewe!!
jikaze sasa umesha-expire 😂
nitajitahidi kumpapasa taratibu 😂sitaki kuingilia mapenzi yenu na Ms eyes
kikubwa tu umtunze kama mboni ya jicho akipata hata kovu nakutumia wahuni😀
Gily kwenye Moja na mbili 😂
alikuhamasisha uruke ruke 😂Gily ndio alinihamasisha😂
😂 Alinihamasisha nikupe nafasi 😌😘😋😂😂alikuhamasisha uruke ruke 😂
we mwache ache zee nafasi adimu ntoto nzuri sana wewe 😋😋😋😂 Alinihamasisha nikupe nafasi 😌😘😋😂😂
😂😂😂 Muda bado
kijana unapenda kunipa mitihani 😂
mpaka lini sasa babe😂😂😂😂 Muda bado