cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi JF uko nayo serious sanaa?? Hebu tuachee bhana. Isije kuwa nakukwaza. Mie nilikua nakutania na wala hakuna ukweli wowote.Hamna noma! Sema dah! Najichoresha kinyama yani...[emoji23][emoji23][emoji23]
Nisamehee bureee, kuanzia now hutoona nazungumza au kusema chochote juu yako.
Relaaaaaaaxxx!!! Byeeeee
Enjoy your time,