Tuwaenzi wanamuziki, wanamichezo na Wasanii toka Mbeya

kaliwonela

Member
Joined
Mar 14, 2018
Posts
18
Reaction score
17
Mkoa wa Mbeya ni mkoa uliojaliwa kuwa na vipaji sana. Leo naona tuwakumbuke kwa kuwataja hao watu wenye asili ya huko na waliouletea mkoa huu sifa kubwa ndani na nje ya Tanzania

1. Omary Mkakile (Mkali)
2._Ezekiel Greyson Jujuman
3. Edgar Fongo
4. Bass guitarist John Mwalyanga
5. Bahati Bukuku
6. Rayvann
7. John Lwaga
8. Ant Ezekiel
9. Ambwene Yesaya
9. Mike T. Mwakatundu
10. Uhuru Selemani
11. Bujibuji
12. ....
13......
 
GK, Izo Biznes, Sarah wa Masta Jay, etc...
 
Aliyefanikisha ujenzi wa lift ya kwanza Mbeya mjini. Simjui jina lake, lakini huyo ndio kauletea sifa mkoa kuliko wote hapo juu.
 
Kosa la marehemu hakuvaa condom nao wakumbukwe
 
Anti ezekiel aliutangaza sana mkoa wa mbeya katika ile safari yake maarufu ughaibuni na waziri nyalandu
 
Lif
Aliyefanikisha ujenzi wa lift ya kwanza Mbeya mjini. Simjui jina lake, lakini huyo ndio kauletea sifa mkoa kuliko wote hapo juu.[/QUOTEl lift unaona bonge la deal!!?....kama mji hauna majengo marefu lift ya mini!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…