Tuwafahamu baadhi ya Masensei wetu wakongwe waliofanya kazi kubwa na wanaoendelea kueneza Misingi ya Karate Tanzania

Tuwafahamu baadhi ya Masensei wetu wakongwe waliofanya kazi kubwa na wanaoendelea kueneza Misingi ya Karate Tanzania

Hua nachukia nikiona watu walevi wanaleta utani kwenye michezo yenye heshima duniani kama karate/kungfu n.k

Anyway, namkumbuka sensei dudley mawalla, moja wa wakufunzi mahiri kabisa wa kwanza kutokea tanzania katika shotokan..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sempai nao watajwe!!

"Masta" kama yupo atajwe pia
 
Sensei Magoma yupo wapi waungwana? Yule alikuwa kama Bruce LEE
 
Abdallah Hassan Mkamba Jeet Kune Do Teacher.Funga kazi kwa kanda ya ziwa.
FB_IMG_1599996444009.jpg

Master Mfaume/Dar.
Master Ringo/Dar.
Master Kioka/Mwanza.
Sensei Amri/Mwanza(sensei kioka junior)
Master Clay R.I.P/Mwanza.
Suleiman kumcha/Musoma.
Ibrahim Kiumbe Rambo/Musoma brother respect.
Sensei Yahya Hassan R.I.P,Jeet Kune Do/Arusha.
 
huu mchezo nikajitia kiherehere kwenda kujifunza..

eebaanaee nilipigwa teke moja LA round kick..kwenye USO, shavuni upande wa sikio,usawa wa shingo;hata sijui litokea wapi..!?

nilisikia kwa mbaliii napewa polee, poleee...huku najivunga kuugulia maumivu ya ndani kwa ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
ulikuwa unajifunzia wapi?
 
Back
Top Bottom