BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Karate ni sanaa ya mapigano na mapigano ni makabiliano.acha kufikiri kijinga, nani alikwambia body fitness ni kwa ajili ya kugombana?.
takatakaKarate ni sanaa ya mapigano na mapigano ni makabiliano.
Usiniambukize ujuha wako tafadhali.
Uchafu!!!!takataka
Mwalimu Chikoko anafundisha wapi?Picha ya mwisho hiyo huyo anapatikana magomeni annex..katutrain sana GOJU RYU.
Sent using Jamii Forums mobile app
ulikuwa unajifunzia wapi?huu mchezo nikajitia kiherehere kwenda kujifunza..
eebaanaee nilipigwa teke moja LA round kick..kwenye USO, shavuni upande wa sikio,usawa wa shingo;hata sijui litokea wapi..!?
nilisikia kwa mbaliii napewa polee, poleee...huku najivunga kuugulia maumivu ya ndani kwa ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
mzee itabidi uwe master wangu...mazoezi wapi?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Niliwai kumpa Kichapo pale nje Uwanja wa karume mpaka akakimbia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hawa na kina sensema malunde sensema ni ndugu!?