Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Mla rushwa mkubwa.Othman Kadhi
Alikuwa na Mahaba na Mikia balaaMla rushwa mkubwa.
Alikula laki mbili Songea akafungiwa maisha.Alikuwa na Mahaba na Mikia balaa
Othman Kadhi
Tuwakumbuke marefarii wa zamani waliowahi kujipatia umaarufu katika mchezo wa soka. Wanaweza wakawa ni wa hapa Tanzania, Afrika au hata Ulaya. Karibuni
Alikula laki mbili Songea akafungiwa maisha.
Walipata msamahaIle adhabu alichomoa