Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mkoa wa Kigoma ni miongoni mwa mikoa inayotoa wanasoka wengi hapa nchini toka nchi imepata Uhuru.
Leo tuwataje wanandinga wenye asili ya mkoa wa Kigoma ambao waliwahi kuwika nchini katika mchezo wa soka.
Naanza na Said Sued "Scud"...
Leo tuwataje wanandinga wenye asili ya mkoa wa Kigoma ambao waliwahi kuwika nchini katika mchezo wa soka.
Naanza na Said Sued "Scud"...