Tuwaombee hawa ndugu zetu, wanapitia kipindi kigumu sana

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Yaani huwaoni kabisa humu jf, sijui wamepatwa na jambo gani? Huko mitaani ndio kabisaa hawataki hata kujua kama Kuna mechi ya marudiano.
Mpira ni furaha ila kwao umegeuka ni mateso.
Wanaomba iyo 28/04/2023 isifike[emoji23][emoji23]

Hebu Kila mmoja wetu aombe kwa dini yake ili iyo kesho adhabu ipungue kidogo.
Angalau wafungwe hata goli 5-0 ili aibu isiwe kubwa sana.
Nawasilisha...........
 
Ukijipa ukubwa wanakuja wakubwa zako wanakukanda na kukukumbusha kuwa Wewe ni underdog tu!

Leo Simba atapigwa kama ngoma , 7-0!

Kelele zote za Simba mwisho saa 5 usiku wa ijumaa! Itakuwa aibu ya mwaka! Aibu ya nchi. Simba itapigwa khamsa ishirini!!

Wanayanga tukae siti za mbele vibanda umiza Ili Simba waweze kukimbia bila bugudha benchi za nyuma

Wanayanga tuwe wapole kushangilia magoli ya Wydad na tusiwatanie Makolo Fc maana watajaa hasira na kutupiga. Tuwe makini maana tunaweza kuambulia vipigo migumi na Mateke, judo, kungfu, Tai chi, karate, kick boxer na upper cut!
 
Ni kawaida sana mkubwa kupigwa au kupiga wakubwa wenzao. Ndio mana hata kwenye ndondi unapigana kulingna na uzito unaofanana. Wewe mbio za wakubwa zilishakushinda
 
Kwahiyo kama kuna mechi ya marudiano ulitaka wafanyaje?.Simba hizi level tumeshazoea sio kama nyie mnaokua na mhaho kwasababu ni mageni kwenu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Leo kuna timu inaenda kubebeshwa mzigo wa magoli.
 
Mbona kama nyie ndiyo mnapitia kipindi kigumu kujishughulisha na mambo yao...
 
Kuna mambo yanafurahisha sana, Kila al kheri kwa Tanzania...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…