Tuwaombee Wakenya mimi nimeshaombea

Tuwaombee Wakenya mimi nimeshaombea

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827

Mutuombee…’’ majaji watoa wito huo wanapojitayarisha kutoa hukumu yao​

Majaji wa Mahakama ya Juu Zaidi watatoa uamuzi wao Jumatatu


Maelezo ya picha.
Majaji wa Mahakama ya Juu Zaidi watatoa uamuzi wao Jumatatu 3 Septemba 2022.

Kusikilizwa kwa kesi ya kupinga matokeo ya urais kumekamilika Ijumaa huku Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu akitoa ombi la kuwaombea majaji wanaporejea kufanyia kazi kuandika na kutoa uamuzi wa kesi hiyo.

“Mutuombee tunapoanza awamu inayofuata. Sio sehemu ngumu sana lakini inahitaji umakini wa hali ya juu na kwa sababu hiyo tunakuomba utuombee Mungu atusaidie tuendelee katika ari ile ile tuliyokuwa nayo katika mwaka mmoja uliopita na tuwe na utambuzi wa hali ya juu sana, tutarudisha kwa Kenya hukumu ambayo si tofauti na kile ambacho Wakenya wanatarajia,”

Mwilu alisema.
 
Sema shetani anapenda sifa sana. Ruto alikuwa keshasamehe, ila sasa wamemchokonoa. Hakika akishinda hii kesi anahitaji kuombewa mno maana anaweza kugeuka kuwa chinja chinja mpaka balaa. Tatizo la Odinga anajiona kama yeye alistahili
 
Nina uhakika Ruto atashinda kwenye hii kesi. Na kama Ruto hatashinda hii kesi narudia Tena ntatembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua
Kitakachomuangusha Ruto ni sheria ya 50%+1 vote. Hakufikisha.
 
Hukumu yao? Hukumu ni kwa mujibu wa Katiba na sheria sio utashi wa majaji.
 
Nina uhakika Ruto atashinda kwenye hii kesi. Na kama Ruto hatashinda hii kesi narudia Tena ntatembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua
Jina lako lenyewe feki, halafu unatupa ahadi za uongo
 
Jina lako lenyewe feki, halafu unatupa ahadi za uongo
Kama watamuonea Ruto nakumpokonya ushindi wake halali mark my words kabla ya kujiua na kutembea uchi siku tatu mfululizo nitakunya na kutapanya marvey Kila Mahali KUACHA laana mbaya kwa Raila na wafuasi wake wote
 
Odinga kaingizwa kingi mara ya pili. RUTO kashachukua ndoo maana hakuna EU wala USA voice iliyopinga basi hilo ni goli halali.
 
Kama watamuonea Ruto nakumpokonya ushindi wake halali mark my words kabla ya kujiua na kutembea uchi siku tatu mfululizo nitakunya na kutapanya marvey Kila Mahali KUACHA laana mbaya kwa Raila na wafuasi wake wote

Usituchafulie miji yetu sisi tunasubiri tu ahadi yako ya kutembea uchi siku tatu mfululizo
 
Unaacha kuombea bibi zako kule Chitipa unaombe watu ambao disguise you. Smh

Maombi yangekua yanafanya kazi as such dunia ingekua paradiso hivi sasa.
 
Sema shetani anapenda sifa sana. Ruto alikuwa keshasamehe, ila sasa wamemchokonoa. Hakika akishinda hii kesi anahitaji kuombewa mno maana anaweza kugeuka kuwa chinja chinja mpaka balaa. Tatizo la Odinga anajiona kama yeye alistahili
Hiyo kitu haipo na haitokaa itokee katika ulimwengu wa sasa.Hakuna Kiongozi mwenye hizo guts za kuchinja wenzie na akabaki salama hayupo na hasa kwa Kenya,unless anataka yale ya 2007 yajirudie tena na Nchi isitawalike kabisa.
 
Nina uhakika Ruto atashinda kwenye hii kesi. Na kama Ruto hatashinda hii kesi narudia Tena ntatembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua
Kujiua tena [emoji3][emoji3]
 

Mutuombee…’’ majaji watoa wito huo wanapojitayarisha kutoa hukumu yao​

Majaji wa Mahakama ya Juu Zaidi watatoa uamuzi wao Jumatatu


Maelezo ya picha.
Majaji wa Mahakama ya Juu Zaidi watatoa uamuzi wao Jumatatu 3 Septemba 2022.

Kusikilizwa kwa kesi ya kupinga matokeo ya urais kumekamilika Ijumaa huku Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu akitoa ombi la kuwaombea majaji wanaporejea kufanyia kazi kuandika na kutoa uamuzi wa kesi hiyo.

“Mutuombee tunapoanza awamu inayofuata. Sio sehemu ngumu sana lakini inahitaji umakini wa hali ya juu na kwa sababu hiyo tunakuomba utuombee Mungu atusaidie tuendelee katika ari ile ile tuliyokuwa nayo katika mwaka mmoja uliopita na tuwe na utambuzi wa hali ya juu sana, tutarudisha kwa Kenya hukumu ambayo si tofauti na kile ambacho Wakenya wanatarajia,”

Mwilu alisema.
Nadhani ili kuepusha sintofahamu za wenzetu Wakenya ambao Demokrasia yao wanasema iko juu, Majaji watangaze kuwa matokeo ya urais ni void hivyo urudiwe kwa hawa vinara wawili Raila Odinga na WilliamRuto. Hilo litaokoa taifa la Kenya kutoingia kwenye vurugu.
 
Kujiua tena [emoji3][emoji3]
Hupo mkuu? SI nilikuambia siku ile Raila hatashinda na hatatangazwa mshindi kwenye uchaguz wa Kenya? SI uliona na jumatatu vilevile huyo baba yenu ataangukia pua tena.
 
Nina uhakika Ruto atashinda kwenye hii kesi. Na kama Ruto hatashinda hii kesi narudia Tena ntatembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua

Kuna Mpemba hapa kaomba kujua utapita barabarani gani Ukiwa uchi ili akuone na muongee mawili matatu ikiwezekana afike dau
 
Kuna Mpemba hapa kaomba kujua utapita barabarani gani Ukiwa uchi ili akuone na muongee mawili matatu ikiwezekana afike dau
Humu ndani jamvin mna vituko. Yani hamkosi comment za kukera za kumjibu mtu. Sasa huyo mpemba maamae ajitokeze huo mkono ntakavyoutembeza maamae kabla ya kujiua.
 
Back
Top Bottom