Tuwaombee Wakenya mimi nimeshaombea

Tuwaombee Wakenya mimi nimeshaombea

Odinga kaingizwa kingi mara ya pili. RUTO kashachukua ndoo maana hakuna EU wala USA voice iliyopinga basi hilo ni goli halali.
kwasasa WEST watakuwa wanawaacha muuane tu , mkichoka mnatulia , wakijihusisha mnawaita wameivamia nchi
 
Hiyo kitu haipo na haitokaa itokee katika ulimwengu wa sasa.Hakuna Kiongozi mwenye hizo guts za kuchinja wenzie na akabaki salama hayupo na hasa kwa Kenya,unless anataka yale ya 2007 yajirudie tena na Nchi isitawalike kabisa.
unahis watachinja kweny Tv
 
Kama watamuonea Ruto nakumpokonya ushindi wake halali mark my words kabla ya kujiua na kutembea uchi siku tatu mfululizo nitakunya na kutapanya marvey Kila Mahali KUACHA laana mbaya kwa Raila na wafuasi wake wote


Kama utaanza kwa kugawa "Tigo" hapo nitakuamini.🤣

Bangi ni mbaya sana dogo, acha.
 
Back
Top Bottom