Mpap Ndabhit
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 331
- 416
Anayestahili kupongezwa basi na apongezwe! Ni jambo dogo lakini nasukumwa kuwapongeza wafanyakazi wa mahakama ya RUFANI TANZANIA hasa kitengo Cha kupokea simu.
Kutopokea simu au kutojibu barua za wananchi ni jambo la kawaida Kwa taasisi za serikali Tanzania. Ni KERO kubwa inayoongeza ugumu wa maisha.
Utalazimika kusafiri hata Kwa jambo dogo. Ni taasisi chache sana za serikali ndiyo wanaopokea simu au kujibu barua.
Mimi siishi DSM wala Dodoma nikiwa na jambo ambalo siyo lazima kusafiri naitafuta namba kwenye mtandao napiga simu, lakini ukweli ni kwamba simu Huwa hazipokelewi. Mna shida Gani nyie watu wa vitengo hivyo serikalini?
Lakini Nimejaribu mara nyingi kupiga simu MAHAKAMA YA RUFANI ukweli wanapokea simu! Inatusaidia sana tunaoishi mbali na huo mji wenu. Mimi Leo niwashukiruuu nawapongeza.
Kutopokea simu au kutojibu barua za wananchi ni jambo la kawaida Kwa taasisi za serikali Tanzania. Ni KERO kubwa inayoongeza ugumu wa maisha.
Utalazimika kusafiri hata Kwa jambo dogo. Ni taasisi chache sana za serikali ndiyo wanaopokea simu au kujibu barua.
Mimi siishi DSM wala Dodoma nikiwa na jambo ambalo siyo lazima kusafiri naitafuta namba kwenye mtandao napiga simu, lakini ukweli ni kwamba simu Huwa hazipokelewi. Mna shida Gani nyie watu wa vitengo hivyo serikalini?
Lakini Nimejaribu mara nyingi kupiga simu MAHAKAMA YA RUFANI ukweli wanapokea simu! Inatusaidia sana tunaoishi mbali na huo mji wenu. Mimi Leo niwashukiruuu nawapongeza.