Tuwape mimba Wachumba zetu jamani

Unashauri vijana waongeze juhudi za kuzaa na mabinti za watu nje ya ndoa, baadae waje kuanzisha nyuzi za kuwakashfu single mother sio mkuu?


ushauri wa kipumbavu kabisa
 
Shida ni kutumia kikundi kidogo cha watu kuakisi mitazamo ya watu wote duniani. Mkuu siyo wazazi wote wapo kama wazazi wako..
 
Wazazi walijua wewe ni mchicha mwiba
 
Afadhali nadhani wajuba wameshapata funzo hapo tayari ngoja nikazie na mimi WAKURUNGWA TUWAPE MIMBA HAWA MABINTI KULEA NI MAJALIWA YA MUNGU TU akijilengesha wewe weka mimba tu
 
Afadhali nadhani wajuba wameshapata funzo hapo tayari ngoja nikazie na mimi WAKURUNGWA TUWAPE MIMBA HAWA MABINTI KULEA NI MAJALIWA YA MUNGU TU akijilengesha wewe weka mimba tu
Daaah Mzee wangu Mungu akubariki sana
 
Familia nzima inashangilia Uzinifu na ZINAAA.....Astaghfirula.
 
Ndio kwa sasa utashangilia umetia mimba ila upande wa pili wahuni wanamsubiri mtoto akue na wao waje watie mimba.kama kawaida hakuna cha bure.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…