Tuwape pongezi mabrother wote wanaojua nini maana ya maisha ambao yeye ukimfanikishia mchongo wa laki atakupa 40

Tuwape pongezi mabrother wote wanaojua nini maana ya maisha ambao yeye ukimfanikishia mchongo wa laki atakupa 40

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Kuna mabrother na wadogo zetu ambao wana roho mbaya sana kwenye ishu zinazohusisha maslahi kitu pekee wanachofikiria ni nafsi zao pekee mbaya zaidi wao ndio upewa kibali na mamlaka kuwa njia ya riziki kwa watu wengine unfortunately wanatumia kibali hicho kujinufaisha.

Mimi Babamorgan ni Baba na kaka pia Kuna cycle inaniangalia niweze kugharamia basic needs zao unanifanyia fitina na kutumia shida zangu na kunitumia kama cheap labour bro mimi mwenyewe inanipain kuona watoto wako wakinawiri wakati mtoto wangu anachakaa kama chokaraa.

Brother Mimi pia natamani wikiendi kama hii nitoke nipate kinywaji nichome nyama ikiwezekana nikalale gesti na malaya mkali kama wewe brother ila nashindwa sababu pesa nayopata inashindwa kuafford hata milo mitatu kwa siku.

Tuwape pongezi mabrother wote wanaojua nini maana ya maisha ambao yeye ukimfanikishia mchongo wa laki atakupa 40 yeye abaki na 60 that is brotherhood much respect bigboys.
 
Mchongo wa 100k wewe upewe 40k? Yaani 40%? Unaota wewe
 
Ulimwengu wa saivi Akili ina gharama kuliko ma nguvu, Nikupe mchongo wa akili mingi afu we utumie minguvu utegemee 40% ,no takupa 10% siku nyingine na wewe utumie akili
 
Aseeh wapo mabraza wasio na Roho za kukunja!

Kuna ambao mpaka Dili za mio mnapiga na anakupa chako! Fresh tu

Ishu ni ubinafsi na choyo ukikutana na watu wa hivyo aseeh
 
Yeye anakuwa ameekeza shingapi make 40 kubwa sana
40 kubwa vipi kwa mtu ambaye ametumia energy na akili kufanikisha upate pesa kama unaona ni rahisi basi ingia mwenyewe front ili uweze kuchukua yote 100 sio kumpa mtu 10 wakati na yeye ni mtu mzima kama wewe
 
Mchongo wa 100k wewe upewe 40k? Yaani 40%? Unaota wewe
Kwani napewa Bure mkuu?? Nimeperform part yangu na deserve kupata kutokana na energy niliyowekeza jumlisha quality ya huduma/bidhaa niliyo deliver.

Kama hii ndio mindset ya Watanzania wenzetu basi tuna safari ndefu sana kufika hata middle class income
 
Kwani napewa Bure mkuu?? Nimeperform part yangu na deserve kupata kutokana na energy niliyowekeza jumlisha quality ya huduma/bidhaa niliyo deliver.

Kama hii ndio mindset ya Watanzania wenzetu basi tuna safari ndefu sana kufika hata middle class income
Ganji ni 10%. Tena kwenye deals kubwa kabisa huko ndio 1-3%.
 
inawezekana isiwe nyingi kais hicho ila tabia ya kumpoza mtu inasiaidia sana
Muungwana yeyote anatakiwa kutoa commission inakusaidia hata wewe utaletewa/utafanyiwa kazi nyingi
 
Ulimwengu wa saivi Akili ina gharama kuliko ma nguvu, Nikupe mchongo wa akili mingi afu we utumie minguvu utegemee 40% ,no takupa 10% siku nyingine na wewe utumie akili
Bongo hii michongo ya akili mingi ni michache.. michongo mingi ni ya wenzetu ambao walifanikiwa kuwa na connection ya watu kusema wanatumia akili nyingi ni uongo why unakuta mtu anakupa mchongo lakini katika Huo mchongo yeye ni mweupe hakuna analojua.
 
Back
Top Bottom