Tuwapuuze watafuta sifa JF

Hajui kitu huyu mnampa kichwa tu

Mfano mdogo kwenye hiyo sentensi ameandika

"Hivi ilikuwa huelewi........"

Hichi ni kiswahili sanifu kweli??

Hapo ilibidi aseme

"Hivi ulikuwa huelewi........."

= hiki

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
= hiki

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nafwaaaa ,Yaani hapa umezidi kudhihirisha kwamba hujui kitu .

Hichi,hicho,hiki,hiko haya maneno yanatumika sawa kulingana na upendeleo tu wa mtu anayezungumza.

Anayesema hiki ,ni sawa na yule anayesema hichi ,anayesema hiko ni sawa na mtu anayesema hicho.


Halafu kwanza rudi shule ukajifunze upya matumizi ya alama ya sawasawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…