Tuwapuuze watafuta sifa JF

Tuwapuuze watafuta sifa JF

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Kumetokea wimbi la vijana watafuta sifa na kiki hapa JF ambao wanatumia majukwaa kuandika vitu vya kijinga kwa manufaa ya kutafuta umaarufu na hao vijana ni
1.muosha rungu
2.Alonso14
Hawa vijana wanatafuta umaarufu na sifa za kijinga kama ....yule jamaa wa kule Dar naomba tuwapuuze hawa watu maana List zao nimelenga kuleta matabaka JF na chuki zisizo na msingi ..
Yangu ni hayo tu
 
Kumetokea wimbi la vijana watafuta sifa na kiki hapa JF ambao wanatumia majukwaa kuandika vitu vya kijinga kwa manufaa ya kutafuta umaarufu na hao vijana ni
1.muosha rungu
2.Alonso14
Hawa vijana wanatafuta umaarufu na sifa za kijinga kama ....yule jamaa wa kule Dar naomba tuwapuuze hawa watu maana List zao nimelenga kuleta matabaka JF na chuki zisizo na msingi ..
Yangu ni hayo tu
wewe unatafuta umaarufu kumtaja mtu VIP kama muosha rungu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni jamii pana yenye mchanganyiko wa watu wa aina mbali mbali.....na sote kwa pamoja kulingana na michango ya hao wanajamii ndio tunaifanya jamiiforums iwe pahala pa kuvutia.......

Jamii hii ina majukwaa mbali mbali kulingana na utashi wa mhusika.....ukiona hauendani na maudhui ya jukwaa husika....au hauendani na baadhi ya thread kwa viwango vyake.....ni vyema ukakaa kando....

Msawazo kwenye jamii yoyote hauletwi kwa kupendezeana bali kwa kwa kuvumiliana......

Ingekuwa mambo yawepo kama unavyotaka yawe basi JF kusingekuwa na member au kungekuwa na member wachache.......


PENYE WENGI PANA MENGI.....
 
Back
Top Bottom