Tuwapuuze watafuta sifa JF

Tuwapuuze watafuta sifa JF

Mmmh..
Mbona kama unajitia stress..kwani umaarufu siku hizi ni communicable disease!?

Besides,mtu anatafta umaarufu kwa fake ID ili iweje!!?
Mf.Muosha Rungu unamuonea bure mana hata angekuwa msanii wa mziki wa singeli ama Ngoma za Baikoko kwa hili jina umaarufu bado unamuonea!!

Vinginevyo twambie kama kuna ishu mnacompete personally...Huko PM au nje na Jamii Forums Tuokoe jahazi!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh..
Mbona kama unajitia stress..kwani umaarufu siku hizi ni communicable disease!?

Besides,mtu anatafta umaarufu kwa fake ID ili iweje!!?
Mf.Muosha Rungu unamuonea bure mana hata angekuwa msanii wa mziki wa singeli ama Ngoma za Baikoko kwa hili jina umaarufu bado unamuonea!!

Vinginevyo twambie kama kuna ishu mnacompete personally...Huko PM au nje na Jamii Forums Tuokoe jahazi!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwer kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh..
Mbona kama unajitia stress..kwani umaarufu siku hizi ni communicable disease!?

Besides,mtu anatafta umaarufu kwa fake ID ili iweje!!?
Mf.Muosha Rungu unamuonea bure mana hata angekuwa msanii wa mziki wa singeli ama Ngoma za Baikoko kwa hili jina umaarufu bado unamuonea!!

Vinginevyo twambie kama kuna ishu mnacompete personally...Huko PM au nje na Jamii Forums Tuokoe jahazi!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli mtupu
 
Hivi ilikuwa huelewi kuwa English pia ni lugha rasmi ya Tanzania?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Usipende kutumia code switching ili kila mtu akujua ww una compentence na lugha zote wengne hatukusoma
 
Back
Top Bottom