JM inc
Senior Member
- Apr 27, 2013
- 112
- 54
Hawa sio wajumbe wa mkutano mkuu wa TFF, wala si waandishi wa habari, lakin wapo Dodoma kwenye uchaguzi na suti zao.
Hapa naona harufu za kurudi kule kule, maana hawa wanaoojiita watu wa mpira hawez kuwaacha....kuwa na team kuwa na upande si dhambi lakin kwa mwenendo huu sion kama huyu ni mtu sahihi kwa soka letu..
Ukiona tayr kwa timu hii tujue kbsa kamati zozote watahusika hawa wanaomsaidia ili awe pale, tusidanganyane, atakula aliopanda nao, sitegemei akimchukua Uledi wa buseresere kule kigoma au Mapunda wa litumbandyosi Ruvuma, ni hawa hawa alio nao TUSIDANGANYANE.
USHAURI WANGU
Wajumbe wa mkutano mkuu wa TFF tuleteen mtu mwenye MPANGO MKAKATI UNAOTEKELEZEKA.
Hapa naona harufu za kurudi kule kule, maana hawa wanaoojiita watu wa mpira hawez kuwaacha....kuwa na team kuwa na upande si dhambi lakin kwa mwenendo huu sion kama huyu ni mtu sahihi kwa soka letu..
Ukiona tayr kwa timu hii tujue kbsa kamati zozote watahusika hawa wanaomsaidia ili awe pale, tusidanganyane, atakula aliopanda nao, sitegemei akimchukua Uledi wa buseresere kule kigoma au Mapunda wa litumbandyosi Ruvuma, ni hawa hawa alio nao TUSIDANGANYANE.
USHAURI WANGU
Wajumbe wa mkutano mkuu wa TFF tuleteen mtu mwenye MPANGO MKAKATI UNAOTEKELEZEKA.