Tuwasaidie Graduate wa awamu ya tano

Tuwasaidie Graduate wa awamu ya tano

Mtetezi.com

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
3,134
Reaction score
3,584
Nimekuwa nikiwaona vijana waliohitimu 2010's wakisumbuka na changamoto mbalimbali za ajira but ambao wako very frustrated kuliko kipindi chochote toka nchi hii ipate uhuru ni hawa waliohitimu kuanzia mwaka 2015.
Kwani fursa za ajira sio tu finyu bali hakuna ajira kabisa na NGO's zinapunguza watumishi.
Fursa za kibiashara zimekuwa ngumu sana kwani no purchasing power unaweza ukawa na mtaji, wazo zuri la biashara na sehemu nzuri but bado biashara isitoke.

Kama wewe ni graduate au una kaka au graduate hebu toa mchanganuo wowote ni kwa namna gani graduate anaweza kujikwamua hapo alipo aidha apate kazi au ajiajiri.
Naombeni tuchangie kwa wingi najua Jf ni home of Intellectuals pia.
Tusiwakatishe tamaa wadogo zetu tuwape moyo na faraja wasikate tamaa mana ukiwaona wanatia hadi huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nikiwaona vijana waliohitimu 2010's wakisumbuka na changamoto mbalimbali za ajira but ambao wako very frustrated kuliko kipindi chochote toka nchi hii ipate uhuru ni hawa waliohitimu kuanzia mwaka 2015.
Kwani fursa za ajira sio tu finyu bali hakuna ajira kabisa na NGO's zinapunguza watumishi.
Fursa za kibiashara zimekuwa ngumu sana kwani no purchasing power unaweza ukawa na mtaji, wazo zuri la biashara na sehemu nzuri but bado biashara isitoke.

Kama wewe ni graduate au una kaka au graduate hebu toa mchanganuo wowote ni kwa namna gani graduate anaweza kujikwamua hapo alipo aidha apate kazi au ajiajiri.
Naombeni tuchangie kwa wingi najua Jf ni home of Intellectuals pia.
Tusiwakatishe tamaa wadogo zetu tuwape moyo na faraja wasikate tamaa mana ukiwaona wanatia hadi huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Graduates gani unaotaka kuwasaidia? Hawa waliotunga thread ikafika pages 50 kumponda aliejiajiri kuuza makande?!!! Waache wasubiri kuajiriwa.
 
Tatizo vijana nao wakishaingia kazini wanajisahau baada ya miezi 4 anajiona nayeye bosi.


Mimi nliamua kuajiri vijana fresh from school ila nlichokutana nacho nimejuta wanajisahau sana watoto wa kisasa hata ukimtuma anaona kama kalazimishwa unamfundisha kazi pale anapokosea anaona kama unamuonea ukimwambia rudia....nimepiga chini wote watatu nmechukua wakongwe
 
Mbona fursa kibao ! Dada mmoja kamaliza chuo juzi , hakusubiri ajira ila alianza kuuza uji wa ulezi kwa kutumia zile chupa kubwa za chai . Yupo poa na maisha yanaendelea . Kama unaona aibu kufanya kazi ndogondogo subiri Yesu aje akupe kazi ya kuhubiri ili ule sadaka bila jasho

Sent using Jamii Forums mobile app
Fursa zipo sana tu..tatizo watu wanaona haya...!mwaka 2016 mie nilianza kuuza nguo za watoto 1st class naenda nazo job asbh nazipitisha maofisini jion nachukua changu..nikaona utamu..wknd nikawa naenda magereza nabeba boonge ya begi limejaa nguo za watoto/wadada...kuna askari kumbe ananijua..akaniambia ni ww manengelo???nikamshangaaaa...lakini jioni unarudi una hela nzuri sana..unajipongeza na wine kbs...imagine unapita nyumba kwa nyumba..belo halikua linakaa kbs..!huyu mjinga wenu akaja kupandisha bei nikapiga chini...!mm nikabidhi nyanya jion dai chako naingia front..sina haya..mradi naamini napata hela!
 
Tatizo vijana nao wakishaingia kazini wanajisahau baada ya miezi 4 anajiona nayeye bosi.


Mimi nliamua kuajiri vijana fresh from school ila nlichokutana nacho nimejuta wanajisahau sana watoto wa kisasa hata ukimtuma anaona kama kalazimishwa unamfundisha kazi pale anapokosea anaona kama unamuonea ukimwambia rudia....nimepiga chini wote watatu nmechukua wakongwe
Mkuu ni changamoto sana, sijui kwanini mana hata mm nimelishuhudia hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fursa zipo sana tu..tatizo watu wanaona haya...!mwaka 2016 mie nilianza kuuza nguo za watoto 1st class naenda nazo job asbh nazipitisha maofisini jion nachukua changu..nikaona utamu..wknd nikawa naenda magereza nabeba boonge ya begi limejaa nguo za watoto/wadada...kuna askari kumbe ananijua..akaniambia ni ww manengelo???nikamshangaaaa...lakini jioni unarudi una hela nzuri sana..unajipongeza na wine kbs...imagine unapita nyumba kwa nyumba..belo halikua linakaa kbs..!huyu mjinga wenu akaja kupandisha bei nikapiga chini...!mm nikabidhi nyanya jion dai chako naingia front..sina haya..mradi naamini napata hela!
Hongera kwa kujiongeza mkuu
 
Graduates gani unaotaka kuwasaidia? Hawa waliotunga thread ikafika pages 50 kumponda aliejiajiri kuuza makande?!!! Waache wasubiri kuajiriwa.
Kwa hiyo mkuu makosa ya wachache ndo unajumuisha watu wote .??
Reply yako naona inataka kuharibu maana ya huu uzi .
Au ndo aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa .??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha prove you right hapo!! Hiyo pesa ya masters angeiwekeza kwenye makande akuze mtaji au afanye biashara yenye tija badala ya kupoteza muda na rasimali chuoni miaka na miaka kisha kurudi kupika michuzi.

Makande hayahitaji masters!
You just proved me right.
 
Back
Top Bottom