RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Tunaiona dunia Kwa namna tofautiHakuna cha prove you right hapo!! Hiyo pesa ya masters angeiwekeza kwenye makande akuze mtaji au afanye biashara yenye tija badala ya kupoteza muda na rasimali chuoni miaka na miaka kisha kurudi kupika michuzi.
Makande hayahitaji masters!