Tuwasaidie Graduate wa awamu ya tano

Hakuna cha prove you right hapo!! Hiyo pesa ya masters angeiwekeza kwenye makande akuze mtaji au afanye biashara yenye tija badala ya kupoteza muda na rasimali chuoni miaka na miaka kisha kurudi kupika michuzi.

Makande hayahitaji masters!
Tunaiona dunia Kwa namna tofauti
 
Mkuu shukuru Mungu umeajiriwa ..ila una mawazo mfu
Hapana mkuu! Mtu mpaka kuhitimu masters kisha kurudi kupika michuzi na makande ni upotevu wa muda na rasilimali!!

Sisemi kupika makande ni jambo baya au la kutweza, la hasha. Hizo fedha alizotumia kusoma na kulipa ada miaka yote hiyo ni afadhali angeiwekeza katika biashara yenye tija au kwenye hayo makande yake.

But then again ni sera na mikakati mibovu ya serikali kushindwa kuajiri wahitimu mpaka inawabidi kuangukia katika plan B!

Plan B ni sahihi, lakini ukweli ni kwamba kusoma mpaka masters kisha kurudi kupika michuzi ni upotezaji wa muda na fedha. Ni fedheha.
 
Write your reply... madogo waache uduanzi wapige kazi waache kuchagua kazi mm nliamua Kuwa pusha nlkuwa nikiuza misokoto kazaa naingiza mtonyo life linasonga sema nimeacha kuuza maana sometimes nlkuwa naitumia mwenyewe
 
Hakuna cha prove you right hapo!! Hiyo pesa ya masters angeiwekeza kwenye makande akuze mtaji au afanye biashara yenye tija badala ya kupoteza muda na rasimali chuoni miaka na miaka kisha kurudi kupika michuzi.

Makande hayahitaji masters!
Ila kweli elim yake haina values hapo ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…