Tuwasindikize wanaoenda kuripoti Polisi kwa Video mpya ya Simba

sound quality ya huu wimbo kama sijaelewa nini kilifanyika au salaam_sk katupia nini
 
Huge budget ila wimbo sasa ptuuuu!

Japo ni shabiki wa dai na ninamkubali ila kwa huu wimbo hapana niwe mkweli tu.


Hata wimbo wa Waya johmakini mliuponda humu ndo unatrend yuotube saivi ..

Mwana hiphop akirap mnasema habadiliki akibadilika aimbe mnasema arudie kama zamani..

Kumwelewa binadamu tabu, hongera Diamond
 
Huu wimbo nimeurudia kutazama mara 14 na mpaka sasa bado naendelea kutazama...
Sijui nitauchoka saangaMary you olala lalaa... Twende kwa mama na papaa yoo oh... Agh...mpaka nimechanganya
 
Msiwe vipofu kwa ushabiki tuuu semen ukweli ,video ya wimbo ni Kali sana ;ila jimbo lenyewe bayaaa kinoma ,nonsense......
.......,.....
 
Hata wimbo wa Waya johmakini mliuponda humu ndo unatrend yuotube saivi ..

Mwana hiphop akirap mnasema habadiliki akibadilika aimbe mnasema arudie kama zamani..

Kumwelewa binadamu tabu, hongera Diamond
Sikuwahi kuuponda huo wimbo labda kama unalo jingine
 
Kazi nzuri ila melody ya diamond haikua nzuri to 90% imekomea 75% ya neyo ndo imefika 90% but wameimba vizuri wote i appreciate to see how hard work pays
 
Msiwe vipofu kwa ushabiki tuuu semen ukweli ,video ya wimbo ni Kali sana ;ila jimbo lenyewe bayaaa kinoma ,nonsense......
.......,.....

Huu ushabiki mbaya sana yani mtu ukitoa maoni yako unaonekana mnafiki mwenye kinyongo.
Mi nakubaliana na wewe huu wimbo ni mbaya maana hata ne-yo hayupo katika kiwango chake.
 
Huu wimbo mzur sana ila mleta thread amedowload video katika quality mbovu sanaa maana hata sio hd sana ,ila tunashukuru kutufungulia njia kutuonesha video kwa kuanziaa
 
Habari wanaJukwaa,

Huku baadhi ya wanaoitwa Maselebriti wakitakiwa kwenda kuonana na Mkuu wa Mkoa leo kwa tuhuma za kuuza na kutumia Ngada, basi ni vyema tukawasindikiza kwa Kichupa kikali kutoka kwa Diamond Platinumz a.K.a Simba.


Hii ngoma kali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…