mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Najua kuna watu mapovu yanawatoka kwa sababu tu ya wivu na kujipoza kwa machungu ya mafanikio ya Mond kwa kujenga beef..,maisha hayako hivyo jitahidi kivyako utoke !! Hivi kwanini hamjiulizi wewe ndio ulianza mziki kitambo enzi zile pale kota za bandari gerezani kariakoo..ukaimbaa...ukaimba...hadi R.kelly akakuona ukaimba nae pia mwisho wa yote ulipoona mziki hauna dili ukatangaza kustaafu kwakua ulikua unafanyia muziki "SIFA na sio HELA"
Chibu ndio mwanamziki wa kwanza wa kitanzania international ambaye ameonyesha music industry ni biashara katoboa tena haswa jina lake ukipita mitaa ya Hollywood california linajulikana julikana .Nakupa mfano kwa wale wanaojua Hip Hop kuna mtu ana rap kwa Nas?tangu enzi hizo...hata mtaani kwake watu wote wanajua kama yeye ni mfalme wa Hip Hop huwambii kitu lakini je mauzo yake yanafanana na Jay Z? vipi pale Drake rhymes zake zinafika hata robo ya Nas?sasa mbona Jay Z,Drake ,...wanauza sana kushinda Nas haujiulizi tu?Music industry ime transform kutoka kuwa mistari migumu ,tata na tenzi za rohoni sana na kuwa SWAGA!!
Hapo ndipo Mond anampiga chini mshikaji wa kariakoo ,hizi ni enzi za Music ya Swag wewe ukijifanya vitenzi sana ,vina sana ,viambishi sana watu wanapiga swaga wanauza hata Neyo analijua hili ndio maana Chris Brown anauza sana kushinda yeye Music ni swaga ,acha maneno na usilinganishe Mond na Mambo yakijinga
Aya press play hapa tuongezee views then ukatangaze zinanunuliwa
Chibu ndio mwanamziki wa kwanza wa kitanzania international ambaye ameonyesha music industry ni biashara katoboa tena haswa jina lake ukipita mitaa ya Hollywood california linajulikana julikana .Nakupa mfano kwa wale wanaojua Hip Hop kuna mtu ana rap kwa Nas?tangu enzi hizo...hata mtaani kwake watu wote wanajua kama yeye ni mfalme wa Hip Hop huwambii kitu lakini je mauzo yake yanafanana na Jay Z? vipi pale Drake rhymes zake zinafika hata robo ya Nas?sasa mbona Jay Z,Drake ,...wanauza sana kushinda Nas haujiulizi tu?Music industry ime transform kutoka kuwa mistari migumu ,tata na tenzi za rohoni sana na kuwa SWAGA!!
Hapo ndipo Mond anampiga chini mshikaji wa kariakoo ,hizi ni enzi za Music ya Swag wewe ukijifanya vitenzi sana ,vina sana ,viambishi sana watu wanapiga swaga wanauza hata Neyo analijua hili ndio maana Chris Brown anauza sana kushinda yeye Music ni swaga ,acha maneno na usilinganishe Mond na Mambo yakijinga
Aya press play hapa tuongezee views then ukatangaze zinanunuliwa