Pre GE2025 Tuwataje Wabunge waliofanya vizuri kwenye majimbo yao 2020-2025

Pre GE2025 Tuwataje Wabunge waliofanya vizuri kwenye majimbo yao 2020-2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Habari wakuu,

Mwaka 2020-2025 ni sawa na hatukua na bunge hapa Tanzania.

Lakini kwenye msafara wa mamba na kenge wapo,hivyo hivyo pamoja na bunge kuwa la hovyo lakini kuna Wabunge kadhaa wamejaribu kutekeleza majukumu yao huko Majimboni.

Mimi wabunge wangu ninaoona walau wamepambana ni hawa hapa.

1. Jumanne kishimba - Kahama

2. Mbunge wa Iringa mjini simjui jina.

3. Mbunge wa Njombe Mjini

4. Mbunge wa Makambako

5. Ridhiwani Kikwete - Chalinze.
 
Wewe utakua ni Ridhiwani umekuja kujipigia debe humu.

Zaidi ya vile vigodoro vya kila mwezi pale msoga kuna kingine kipya kipi umefanya?
 
Askofu Dr Gwajima
Habari wakuu,

Mwaka 2020-2025 ni sawa na hatukua na bunge hapa Tanzania.

Lakini kwenye msafara wa mamba na kenge wapo,hivyo hivyo pamoja na bunge kuwa la hovyo lakini kuna Wabunge kadhaa wamejaribu kutekeleza majukumu yao huko Majimboni.

Mimi wabunge wangu ninaoona walau wamepambana ni hawa hapa.

1. Jumanne kishimba - Kahama

2. Mbunge wa Iringa mjini simjui jina.

3. Mbunge wa Njombe Mjini

4. Mbunge wa Makambako

5. Ridhiwani Kikwete - Chalinze.
Wamefanya nini cha maana?.
 
Kwa upande wangu Mpina anajitahidi ,na yule Gwajima kule Twitter anafuatilia kwa kiasi chake .
 
Habari wakuu,

Mwaka 2020-2025 ni sawa na hatukua na bunge hapa Tanzania.

Lakini kwenye msafara wa mamba na kenge wapo,hivyo hivyo pamoja na bunge kuwa la hovyo lakini kuna Wabunge kadhaa wamejaribu kutekeleza majukumu yao huko Majimboni.

Mimi wabunge wangu ninaoona walau wamepambana ni hawa hapa.

1. Jumanne kishimba - Kahama

2. Mbunge wa Iringa mjini simjui jina.

3. Mbunge wa Njombe Mjini

4. Mbunge wa Makambako

5. Ridhiwani Kikwete - Chalinze.
Jafari Chege wa Rorya✅️
 
Back
Top Bottom