Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Zikiwa zimebaki mechi tatu kwa kila timu ya ligi Kuu ya Uingereza, Ligi hiyo inaenda ukingoni kuhitimisha msimu wa 2018/19.
Ni msimu wa aina yake, kwani mpaka kufikia sasa bado bingwa hajajulikana kati ya Liverpool au Man City ni timu ipi itatwaa taji hilo. Kuna wachezaji wametamba msimu huu kama VVD, Sterling, Bernado Silva, Son, Mane na wengineo.
Leo nimeona tuangazie, Wachezaji wa baadhi ya timu zinazoshiriki ligi hiyo ambao hawatajwi sana na Media ila wanapiga kazi kubwa tena kimya kimya.
Mimi naanza na hawa,
Robertson - Liverpool.
Aaron Wan Bissaka - Crystal Palace.
James Madisson - Leicester City
Unaweza ukaendelea na orodha...
Ni msimu wa aina yake, kwani mpaka kufikia sasa bado bingwa hajajulikana kati ya Liverpool au Man City ni timu ipi itatwaa taji hilo. Kuna wachezaji wametamba msimu huu kama VVD, Sterling, Bernado Silva, Son, Mane na wengineo.
Leo nimeona tuangazie, Wachezaji wa baadhi ya timu zinazoshiriki ligi hiyo ambao hawatajwi sana na Media ila wanapiga kazi kubwa tena kimya kimya.
Mimi naanza na hawa,
Robertson - Liverpool.
Aaron Wan Bissaka - Crystal Palace.
James Madisson - Leicester City
Unaweza ukaendelea na orodha...