Tuwatambue wazalendo wa Tanganyika

JPM angekuwa rais mpaka leo huu upuuzi wa utanganyika ungezaliwa upya?.
 
Mambo sio mepesi kama unavyodhani. Haupo msingi imara wa kuidai Tanganyika, haipo sababu yenye mashiko yenye kueleweka ya kuidai nchi ya Tanganyika.
 
Mkishalianzisha hilo baadae mtagawanyika,Kilimanjaro itadai ilikuwa na se
rekali mpaka mwaka 1956,ilipoporwa,na wengine na wengine watafuata upuuzi huu..
Dhana ya utanganyika ni dhambi kubwa kabisa!
Kujiita watanganyika wanaona ni sawa na utakatifu fulani, wanadhani ni kauli yenye amani ndani yake. Ni pale watakapokuwa wamevunja muungano ndio mambo yatakapoanza kuharibika taratibu.
 
Hawa nao nyuzi zao zinawatambulisha kuwa ni wapigania maslahi ya Tanganyika:
1. Mnada wa Mhunze
2. Chotera
3. LOTH HEWA
4. Dew Drop
5. Erythrocyte
 
Wazalendo wengine Watanganyika ni pamoja na Hawa wafuatao
1. Nguruvi3
Missile of the Nation
2. Chika mgiliki
3. Mwande na Mndewa
4. Ngongo
5. rodrick alexander
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…