GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #41
Ufafanuzi tafadhali.CCM inatosha
Huyo mpare- keyboard warrior- naye ni mzalendo?Ingawa Tanganyika bado haijarejerejeshewa hadhi yake stahiki, lakini hatua iliyofikiwa inatia moyo. Muda si mrefu, bendera ya Tanganyika itaanza kupepea. Tanganyika haitakufa tena.
Lakini mpaka kufikia hatua hii, kuna Watanganyika waliosimama kidete kukataa Tanganyika kuzikwa. Ingawa baadhi yao hatupo nao tena katika ulimwengu huu, lakini michango yao imeendelea kusimama imara ikiipigania Tanganyika.
Huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kutambua Wazalendo halisi wa Tanganyika walio hai na hata waliokwishatoka katika ulimwengu huu.
Nitawataja wachache kwa sasa, na nitaendelea kuwataja na hata kuwaelezea , ikiwezekana.
Kwa kuanza, hawa ni baadhi yao:
1. Njelu Kasaka
2. Philip Marmo
3. Freeman Mbowe
4. Mch. Christopher Mtikila
5. Mshana Jr
6. Joseph Sinde Warioba.
7. Jaji Kisanga
8. Ahmed A. Mpakani
9. Jenerali Ulimwengu
10. Tundu A. Lissu
11. Askofu Zakaria Kakobe
12. Said Abdallah Nakuwa
Hiyo ndio kete iliyotumika miaka mingi kuwapumbaza mkajikana wenyewe. Tukaamini kuwa sisi ni dume jike na sio mke au mme, warioba alisema ili hii ndoa idumu lazima dume jike aikubari jinsia yake mkaanza hivyo visababu,mara hoo tukizaa watoto matiti hayataota mara watakuwa vipara vyote hivyo vibweka tu, Wala hakuna sababu za maana,kwani Tanganyika ndio inazaliwa Leo?Mkishalianzisha hilo baadae mtagawanyika,Kilimanjaro itadai ilikuwa na se
rekali mpaka mwaka 1956,ilipoporwa,na wengine na wengine watafuata upuuzi huu..
Dhana ya utanganyika ni dhambi kubwa kabisa!
Mkuu, una bifu na Mshana Jr? Mbona misimamo yake iko wazi kwenye masuala yenye maslahi kwa Tanganyika?Huyo mpare- keyboard warrior- naye ni mzalendo?
Halafu huyo mnyarwanda na huyo mrundi tangu lini wakawa wazalendo?
Na kagera nao watafuatia kujiondoa....!Hiyo ndio kete iliyotumika miaka mingi kuwapumbaza mkajikana wenyewe.
Watu wa Kagera wana akili. Tokea zamani walikuwa wakijua kuwa wao ni Watanganyika.Na kagera nao watafuatia kujiondoa....!
Vya kutosha sanaMshana jr Mbeya viko vichwa kama huku kwetu kaskazi.