King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 3,282
- 6,471
...amani iwe kwetu sote.
Leo nimetoka zangu mihangaikoni naludi geto mida ya usiku tatu kasoro ,ile nashuka tu stand...hatua chache mbele nikakutana na mnada wa nguo afu Bei chee,nikasema ngoja nisogee nikaangalie ikiwezekana ninunue ata fulani mbili za kushindia.
Nikastuka mbna nguo nzuri hv afu wanauza Bei rahisi na zawadi juu na kwanini wauze usiku, hisia zikaniambia fanya kilichokuleta...nikachomoa mwekundu uku nikisikilizia jirani yngu anunue ili niangalie vzur...mara nkaona nguo nzur nyeupe,fasta nikanyosha mkono then nkarushiwa,sjaingalia vzur jamaa anadai pesa nikampa...kwa kifupi nilinunua nguo tatu kwa elfu tatu jumla elf 9.
Nkataka nichomoe mwekundu mwengine ninunue majinsi...baada ya kuona watu wanayachangamkia,loooh akili akaniambia nenda nyumbani ukaoge then urudi Kwenye mnada.
Kufika geto,harakaharaka nikataka nizijarbu zle nguo...nilivyozigeuza nje ndani ndani nje, ahahaa nilichoka...kumbe yale malonyalonya form six sijui grade F wameyapunguza na kuyafua kisha kuyapiga pasi fresh...
Ilinibidi niludi tena kuwaangalia wajinga wanavyopigwa...nikagundua kuna watu wananunua Ili tu kushawishi wajinga wanunue...kumbe wao sio ata wateja.
Daah....nililudi geto kwa unyonge Sana uku nikiwaza ile elf 9 yngu..bora ningenywea supu asubuhi.
TUWENI MAKINI NA MINADA YA NGUO NYAKATI ZA USIKU.
Leo nimetoka zangu mihangaikoni naludi geto mida ya usiku tatu kasoro ,ile nashuka tu stand...hatua chache mbele nikakutana na mnada wa nguo afu Bei chee,nikasema ngoja nisogee nikaangalie ikiwezekana ninunue ata fulani mbili za kushindia.
Nikastuka mbna nguo nzuri hv afu wanauza Bei rahisi na zawadi juu na kwanini wauze usiku, hisia zikaniambia fanya kilichokuleta...nikachomoa mwekundu uku nikisikilizia jirani yngu anunue ili niangalie vzur...mara nkaona nguo nzur nyeupe,fasta nikanyosha mkono then nkarushiwa,sjaingalia vzur jamaa anadai pesa nikampa...kwa kifupi nilinunua nguo tatu kwa elfu tatu jumla elf 9.
Nkataka nichomoe mwekundu mwengine ninunue majinsi...baada ya kuona watu wanayachangamkia,loooh akili akaniambia nenda nyumbani ukaoge then urudi Kwenye mnada.
Kufika geto,harakaharaka nikataka nizijarbu zle nguo...nilivyozigeuza nje ndani ndani nje, ahahaa nilichoka...kumbe yale malonyalonya form six sijui grade F wameyapunguza na kuyafua kisha kuyapiga pasi fresh...
Ilinibidi niludi tena kuwaangalia wajinga wanavyopigwa...nikagundua kuna watu wananunua Ili tu kushawishi wajinga wanunue...kumbe wao sio ata wateja.
Daah....nililudi geto kwa unyonge Sana uku nikiwaza ile elf 9 yngu..bora ningenywea supu asubuhi.
TUWENI MAKINI NA MINADA YA NGUO NYAKATI ZA USIKU.