co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,541
- 2,487
Habari za humu wanajamii,
Ni kwa muda sasa huwa ninamfuatilia huyu mchungaji wa KKKT ushirika wa Kijitonyama Mchungaji Kimaro,hadi kuna muda niliwahi kushawishika kwenda kanisani kwake.
Sasa katika kufatilia hayo mahubiri yake sasa sijui ni shetan au ni kawaida, ninaanza kuona kama tunapigwa hivi na hii ni kutokana na visa vyake anavyokuwa anasimulia, kuna kisa kimoja nilisikiliza jana usiku, eti kuna mfanyabiashara mmoja hapo Kariakoo miaka ya 2012-2015 aliahidi kutoa sadaka ya asilimia 10 baada ya kununua gari yake v8 ya thamani ya milioni 150. Sasa baada ya kununua hiyo gari alienda hadi kwa mchungaji Kimaro na kuomba aiweke wakfu yaani aibariki hiyi gari ya milllion 150, na baaada ya kubarikiwa alitoa laki mbili kama sadaka.
Baada ya kuondoka pale kwa mchungaji dakika kama 30 hivi alivamiwa na majambazi akapigwa risasai saba katika eneo la tumbo na mbavu, baada ya kutokea hilo tukio alipelekwa MOI hatimaye India kwa matibabu amabapo alitumia milioni 300 kwa matibabu tu.
Baada ya miezi saba ya kupona ikabidi aende kwa mchungaji Kimaro kutubu na kutoa zile milion 15 alizotia nadhiri.
Kisa kinaendelea kwa Mchungaju kusema kwamba kuna siku kulikuwa na ibada ya shukurani huko Kilimanjaro ambapoa mchungaji Kimaro alisimamisha wa kwa ajili ya kutoa sadaka na alisema watu kuanzia milioni moja kwenda juu tu ndio walete hizo sadaka na yule mfanyabiashara alitoa milion 30 kuhofia kwamba asipotoa atapa majanga tena
Baada ya hapo akaanza kusema oh hayupo hapo kwa ajili ya kuwalaghai watu ili kupata pesa kama pesa yeye pia anaweza na kujua kuzitafuta kabla hata ya hapo alikuwa anabiashara zake na pesa alikuwa anapata.
Ninyi mnaosali huko tuelezeni huyu Mchungaji au mimi tu ndio nimeanza kutomwelewa?
Ni kwa muda sasa huwa ninamfuatilia huyu mchungaji wa KKKT ushirika wa Kijitonyama Mchungaji Kimaro,hadi kuna muda niliwahi kushawishika kwenda kanisani kwake.
Sasa katika kufatilia hayo mahubiri yake sasa sijui ni shetan au ni kawaida, ninaanza kuona kama tunapigwa hivi na hii ni kutokana na visa vyake anavyokuwa anasimulia, kuna kisa kimoja nilisikiliza jana usiku, eti kuna mfanyabiashara mmoja hapo Kariakoo miaka ya 2012-2015 aliahidi kutoa sadaka ya asilimia 10 baada ya kununua gari yake v8 ya thamani ya milioni 150. Sasa baada ya kununua hiyo gari alienda hadi kwa mchungaji Kimaro na kuomba aiweke wakfu yaani aibariki hiyi gari ya milllion 150, na baaada ya kubarikiwa alitoa laki mbili kama sadaka.
Baada ya kuondoka pale kwa mchungaji dakika kama 30 hivi alivamiwa na majambazi akapigwa risasai saba katika eneo la tumbo na mbavu, baada ya kutokea hilo tukio alipelekwa MOI hatimaye India kwa matibabu amabapo alitumia milioni 300 kwa matibabu tu.
Baada ya miezi saba ya kupona ikabidi aende kwa mchungaji Kimaro kutubu na kutoa zile milion 15 alizotia nadhiri.
Kisa kinaendelea kwa Mchungaju kusema kwamba kuna siku kulikuwa na ibada ya shukurani huko Kilimanjaro ambapoa mchungaji Kimaro alisimamisha wa kwa ajili ya kutoa sadaka na alisema watu kuanzia milioni moja kwenda juu tu ndio walete hizo sadaka na yule mfanyabiashara alitoa milion 30 kuhofia kwamba asipotoa atapa majanga tena
Baada ya hapo akaanza kusema oh hayupo hapo kwa ajili ya kuwalaghai watu ili kupata pesa kama pesa yeye pia anaweza na kujua kuzitafuta kabla hata ya hapo alikuwa anabiashara zake na pesa alikuwa anapata.
Ninyi mnaosali huko tuelezeni huyu Mchungaji au mimi tu ndio nimeanza kutomwelewa?