Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neno(jina)huumba ukitakacho.Ni neno tu.Siyo sijui Mateso,Tabu,shida,sikujua,kaburi,Satan,illuminata,Vumilia,....na mengi mnayoyajua.Mpe jina mtoto aitwe Majaliwa...bahati na moyo kwenye utu hutembea humohumo kupitia jina.Endeleeni kujiita Adolph Hitler ivoivo.....mtavuna
Sijawahi kuelewa maana yake nadhani kwa sababu nimefanya uvivu wa kujijuza.Na kuna lingine linakwenda kwa miondoko ya "Mkegani"!Sijui huwa linakusudiwa kuumba nini kichwani mwa mtamkaji,mpewa jina na msikilizaji.Hivi jina Mwantumu lina maana gan sijui
Watu wamevurugwa,wanatoa tu majina....majina husadifu kituSijawahi kuelewa maana yake nadhani kwa sababu nimefanya uvivu wa kujijuza.Na kuna lingine linakwenda kwa miondoko ya "Mkegani"!Sijui huwa linakusudiwa kuumba nini kichwani mwa mtamkaji,mpewa jina na msikilizaji.
Poa vipMambo
Hainihusu imradi nakula na kwenda chooniSiyo sijui Mateso, Tabu, shida, sikujua, kaburi, Satan, illuminata, Vumilia na mengi mnayoyajua.
Mpe jina mtoto aitwe Majaliwa...bahati na moyo kwenye utu hutembea humohumo kupitia jina.Endeleeni kujiita Adolph Hitler hivyo hivyo mtavuna
Wewe akili yako kama ya kuku tu, hamnazo ama anazo zinabadilisha nini kwenye akili ya mtu?Hivi jina hamnazo' maana yake nn sijui
Oo wow! Omba uishi maisha marefu....hata waliopanda ile ndege kuna baadhi walikuwa na jeuri kama yako....huijui kesho,usijiinue sana mkuuWewe akili yako kama ya kuku tu, hamnazo ama anazo zinabadilisha nini kwenye akili ya mtu?
Kwamba taahira kama wewe hata ukiitwa anazo ama genius basi ndio utakua genius? Aisee.
Watu na bahati zao
Tu ashum angefia mle tungesema majina ya akina majaliwa ni wamejaaliwa kufia watu etiWatu na bahati zao