Tuwe tunaangalia na majina ya kuwapa watoto

Tuwe tunaangalia na majina ya kuwapa watoto

To yeye

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
35,686
Reaction score
86,968
Siyo sijui Mateso, Tabu, shida, sikujua, kaburi, Satan, illuminata, Vumilia na mengi mnayoyajua.

Mpe jina mtoto aitwe Majaliwa...bahati na moyo kwenye utu hutembea humohumo kupitia jina.Endeleeni kujiita Adolph Hitler hivyo hivyo mtavuna
 
Siyo sijui Mateso,Tabu,shida,sikujua,kaburi,Satan,illuminata,Vumilia,....na mengi mnayoyajua.Mpe jina mtoto aitwe Majaliwa...bahati na moyo kwenye utu hutembea humohumo kupitia jina.Endeleeni kujiita Adolph Hitler ivoivo.....mtavuna
Neno(jina)huumba ukitakacho.Ni neno tu.
 
Hivi jina Mwantumu lina maana gan sijui
Sijawahi kuelewa maana yake nadhani kwa sababu nimefanya uvivu wa kujijuza.Na kuna lingine linakwenda kwa miondoko ya "Mkegani"!Sijui huwa linakusudiwa kuumba nini kichwani mwa mtamkaji,mpewa jina na msikilizaji.
 
Sijawahi kuelewa maana yake nadhani kwa sababu nimefanya uvivu wa kujijuza.Na kuna lingine linakwenda kwa miondoko ya "Mkegani"!Sijui huwa linakusudiwa kuumba nini kichwani mwa mtamkaji,mpewa jina na msikilizaji.
Watu wamevurugwa,wanatoa tu majina....majina husadifu kitu
 
Sio kweli,kuna jamaa anaitwa mateso halafu maisha safi,mm nafikiri jina unalompa mtoto linakuhusu sana wewe kwakua ile hali ulipitia ndio ukampa jina mtoto kama legacy
 
Siyo sijui Mateso, Tabu, shida, sikujua, kaburi, Satan, illuminata, Vumilia na mengi mnayoyajua.

Mpe jina mtoto aitwe Majaliwa...bahati na moyo kwenye utu hutembea humohumo kupitia jina.Endeleeni kujiita Adolph Hitler hivyo hivyo mtavuna
Hainihusu imradi nakula na kwenda chooni
 
Hivi jina hamnazo' maana yake nn sijui
Wewe akili yako kama ya kuku tu, hamnazo ama anazo zinabadilisha nini kwenye akili ya mtu?

Kwamba taahira kama wewe hata ukiitwa anazo ama genius basi ndio utakua genius? Aisee.
 
Wewe akili yako kama ya kuku tu, hamnazo ama anazo zinabadilisha nini kwenye akili ya mtu?

Kwamba taahira kama wewe hata ukiitwa anazo ama genius basi ndio utakua genius? Aisee.
Oo wow! Omba uishi maisha marefu....hata waliopanda ile ndege kuna baadhi walikuwa na jeuri kama yako....huijui kesho,usijiinue sana mkuu
 
Sio kweli,kuna jamaa anaitwa mateso halafu maisha safi,mm nafikiri jina unalompa mtoto linakuhusu sana wewe kwakua ile hali ulipitia ndio ukampa jina mtoto kama legacy
Watu na bahati zao
 
Back
Top Bottom