Tuwe waaminifu kwa wapenzi wetu.

Tuwe waaminifu kwa wapenzi wetu.

Huyu Emmy ni mara ya tatu sasa anataka kuja kwangu. Tulizoeana miaka mi3 hivi nyuma. Kipindi hicho maringo kama yote kunitolea nje. Leo hii anaforce kuja, kuna nini?

Nimempiga chenga wee mpaka nikaona isiwe tabu. Acha nimchane ukwee
Baadae wanatiaga huruma

KAMA SIO BIKRA USIOE
 
Umesema kweli.l ndugu. Mwezi wa nne niliugua gono ÷ uti sugu. Nilimeza dawa zote na masindano juu. Hapo hujaweka hofu ya ngoma dadeeki. Yaani nahisi nilipata ngoma ila Mungu akachomoa nyaya mwenyewe nikatest negative.

Mwaka huu pekee nimepima hiv mara tano.
Duh!
 
Huyu Emmy ni mara ya tatu sasa anataka kuja kwangu. Tulizoeana miaka mi3 hivi nyuma. Kipindi hicho maringo kama yote kunitolea nje. Leo hii anaforce kuja, kuna nini?

Nimempiga chenga wee mpaka nikaona isiwe tabu. Acha nimchane ukwee
Kula maini wewe si kauomba moto mpe auote
 
Habarini wataalam wa Jamii Forums.Naomba msaada wenu TV yangu ya HOMEBASE yenye Double glass na picha ya HD ready inanisumbua Sana picha inacheza cheza kama mwanga wa disco.Hali hii inanikera hasa unapotaka kuangalia movie mwanga unacheza cheza.

Wataalam naombeni msaada.
 
Last bullet ya Emy imegoma......

Madem wote kwenye ndoa wameingia kwa sababu age inakataa umeme...
 
Umesema kweli.l ndugu. Mwezi wa nne niliugua gono ÷ uti sugu. Nilimeza dawa zote na masindano juu. Hapo hujaweka hofu ya ngoma dadeeki. Yaani nahisi nilipata ngoma ila Mungu akachomoa nyaya mwenyewe nikatest negative.

Mwaka huu pekee nimepima hiv mara tano.
Acha mbwembwe UTI sugu unaijua au unasema kwa vile wengi wanaisema UtI sugu
 
Back
Top Bottom