Tuwe wakweli, Freeman Mbowe anavuna alichokipanda

Tuwe wakweli, Freeman Mbowe anavuna alichokipanda

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.

Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.

Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.

Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.

Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.

Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.

Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.

Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Mshaurini Mama kuwa, udhalimu unaotendeka na yeye yupo kimya haitamsaidia kwa namna yoyote ile
PROVE UDHALIMU UNAOFANYWA KWA NADHARIA ILIYO HAI,SIKU ZOTE HUWA NAAMINI KESI AU SHAURI,MAANA YAKE NI MTUHIMIWA,USHAHIDI ULIOPO,PAMOJA NA WASIKILIZA SHAURI,TUIACHIE MAHAKAMA
 
Mshaurini Mama kuwa, udhalimu unaotendeka na yeye yupo kimya haitamsaidia kwa namna yoyote ile
PROVE UDHALIMU UNAOFANYWA KWA NADHARIA ILIYO HAI,SIKU ZOTE HUWA NAAMINI KESI AU SHAURI,MAANA YAKE NI MTUHIMIWA,USHAHIDI ULIOPO,PAMOJA NA WASIKILIZA SHAURI,TUIACHIE MAHAKAMA
 
PROVE UDHALIMU UNAOFANYWA KWA NADHARIA ILIYO HAI,SIKU ZOTE HUWA NAAMINI KESI AU SHAURI,MAANA YAKE NI MTUHIMIWA,USHAHIDI ULIOPO,PAMOJA NA WASIKILIZA SHAURI,TUIACHIE MAHAKAMA
Wewe huwezi kuona kwakuwa upo upande wa utesaji, uonevu na udhalimu kwa watu wasio na hatia. Wewe unashiba na kusaza ili Hali wengine wapo magerezani wanateseka kwa mashtaka ya ubambikaji kesi za kutunga. Endelea kufurahia uonevu kwa wananchi, ipo siku
 
Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.

Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.

Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.

Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.

Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.

Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.

Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.

Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wao kazi yao ni kupiga selfie na ujinga mwingi!
 
Mhh, aaa kweli, huwa ni faraja kubwa kudhani kuwa uko mikononi mwa Mungu kumbe uko mikononi mwa shetani!
maana ufahamu huwa unafungwa una ungua taratibu bila wewe kufahamu,na pindi utakapo shituka unakuwa umesha teketea.
Mwaka 1978 somalia ilikuwa nchi ya amani tena yenye utulivu wa kutosha,ikitupatanisha tusiendelee na ugonvi na Amini,baadae kulikuja tokea nini? wasomali walivuta bangi ?
kwa kuwa wewe ni politiki sayansi fanya utafiti tena.
"NI HATARI KUBWA KUWA NA WANANCHI WALIOTULIA HUKU WANAUMIA SIKU WAKISEMA BASI HUTAWEZA KUWAZUIA"
Wenye akili wanalijua vizuri sana hilo. Utulivu wa watanzania usichukuliwe kama ujinga na hapo ndiopo walio juu huwa wanajikwaa na kuanguka bila wao kujua.
 
Ninachojiuliza kila siku ni hiki hivi ni kweli Mbowe amewahi kushirikiana na hawa wanajeshi waliofukuzwa ?, kama ni kweli hawawezi wakamtega baadhi yao kwenye baadhi ya mipango Yao ili tu kumfunga? Alijuaje kama kweli ni watu wema kwake wote? Me mipango take alikishirikisha chama? Kuna vitu siwezi kutoa jibu langu kwamba anaonewa au la sayansi ya siasa.
 
Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.

Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.

Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.

Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.

Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.

Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.

Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.

Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mtoto wa mchunga kondoo unachojaribu kusema ni kuwa mchungaji Hana nguvu ya kuwachunga kondoo. Na kwanamna hiyo hakuna unachoweza kueleweka
 
Jambo moja nililojifunza watanzania sio watu wa kupigania tumejaa unafki na uwoga...kiufupi mbowe akichomoa hii kesi apotezee ishu za siasa angalau hata mwaka itakua na maana kubwa sana.
 
FCOALAuXMA4uZkI.jpg
 
kikatiba hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya sheria! kwan hujasoma judiciary, legislature na parliament?
Mwenye mamlaka ya kuwapa less watu Nani?.
Kesi ya ugaidi walipewa uamsho leo wapo wapi?
 
Ana mamlaka ya kumuagiza DPP,
Hana hayo mamlaka, vilevile yeye siyo mwanasheria wa kujua kesi ipi ifutwe na kwa kigezo gani, DPP ndiye mwenye uamuzi wa mwisho kesi ifutwe au isifutwe kwa kuzingatia sheria zilizopo, na siyo kwa mashinikizo ya kisiasa or mitandaoni
 
Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.

Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.

Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.

Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.

Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.

Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.

Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.

Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
🤣🤣🤣
 
Wewe huwezi kuona kwakuwa upo upande wa utesaji, uonevu na udhalimu kwa watu wasio na hatia. Wewe unashiba na kusaza ili Hali wengine wapo magerezani wanateseka kwa mashtaka ya ubambikaji kesi za kutunga. Endelea kufurahia uonevu kwa wananchi, ipo siku
Familia ya Chacha Wangwe kupitia mjane wake wanahoji na kuitaka serikali iwakamate wote waliokuwa nyuma ya mpango wa mauaji ya mumewe kupitia kijana mtiifu kwa mwenyekiti Dereva Deus Malya.
Ndio maana Mbowe aliokolewa na Polisi kuwakimbia wana Tarime na mpaka leo hathubutu kutia pua kule.
 
Back
Top Bottom