Tuwe wakweli kocha Nabi hana mbinu za mechi za kimataifa. Rekodi zinaongea.

Tuwe wakweli kocha Nabi hana mbinu za mechi za kimataifa. Rekodi zinaongea.

Hata mechi za ndani anashinda Kwa sababu mechi nyingi zinachezwa nje ya uwanja , Yani Hz mechi za ndani hata kichaa ukimpa timu anashinda cha msingi tu kamati ya nje ya uwanja iwe vzur
 
Uwe unaelewa nimesema wakina Kisinda ina maana ana wenzake. Kuna wachezaji kwenye timu, inafika wakati hawana msaada na timu. Mfano nimetoa huyo Kisinda...
Kushinda na kutoshinda yote ni matokeo ya mpira, na tumeyapokea.
Kuijumla wachezaji karibu wote hawakuwa mchezoni hasa kwanzia kati
 
Hoja yako ina mashiko! Ila umechemka sehemu ndogo sana, kwa kutoweka matokeo ya mechi zake mbili dhidi ya Zalan! Baada ya kuchapia hapo kwenye Rivers United (wewe ukaweka Plateu), ulitakiwa pia uitaje hiyo timu ya Zalan!

Hivyo usiwe na double standard.
Sawa mkuuu ndo maana ya jukwaa nikikosea unanirekebisha. [emoji122][emoji122]
 
Baada ya mechi 2 za Yanga na Al hilal nikaona nisubiri mechi ya leo ili nifanye hitimisho km kweli Nabi ana uwezo wa kuiwezesha Yanga kufanya vzr kimataifa au laa. Nisema tu Yanga wasitarajie maajabu yoyote kutoka kwa huyu Profesa aliye-specialize kwenye kushinda mechi za ndani. Hebu tuache rekodi ziongee kwa kutazama mechi za kimataifa ambazo Nabi kaiongoza Yanga.
1.Yanga VS Rivers United 0:1 lose
2.Rivers United VS Yanga 1:0 lose
3.Yanga VS Al hilal 1:1 draw
4.Al hilal VS Yanga 1:0 lose
5.Yanga VS Club Africain 0:0 draw
Next.....??? Mimi Natabiri kipigo.

Mechi za kirafiki kimataifa Yanga Day.
6.Yanga VS Zanaco 1:2 lose
7.Yanga VS Vipers. 0:2 lose

Kati ya mechi saba Nabi kashinda mechi moja tu tena kwa mbinde. Hii ni rekodi mbaya kabisa kwa timu kubwa km Yanga.Mpaka hapo kwanini nisihitimishe kuwa huyu ni profesa wa mechi za ndani pekee?

Jana niliandika uzi kuonya km Yanga watacheza vile walivyocheza dhidi ya Al hilal kwa staili ya polepole( slow),hawatoweza kamwe kumfunga Club Africain. Cha ajabu leo wamecheza vile vile hali iliyofanya kutotengeneza shambulizi lolote la maana kwa dk zote 90.

Yanga wanacheza kwa kueleweka kuanzia kwa Diara hadi katikati ya uwanja. Baada ya hapo kila mtu anaanza kucheza anavyojua. Huoni timu ikicheza kwa mpangilio maalamu. Wakuamua kupiga chenga atapiga, wakuamua kukimbia na mpira atakimbia nao.Wa kupiga juu atapiga. Hapo ndipo nilipohitimisha kwa kusema Nabi hana uwezo wa mechi za kimataifa.

Sisemi afukuzwe ila Yanga waangalie malengo yao. Je malengo ni kuendelea kushinda ligi kuu pekee au wanataka kumfuata mtani wao kule aliko? Kazi ni kwao wenyewe wataamua.

Ni hayo tu kwa sasa.
Acha chuki kwa Prof wewe, zalan kala 9 mbona husemi
 
Kuijumla wachezaji karibu wote hawakuwa mchezoni hasa kwanzia kati
Kuna shida mahala fulani, ndiyo maana nasema tusimtupie lawama zote Nabi, ana za kwake ila si zote. Kwa wachezaji zinawaangukia asilimia kubwa kuna kitu hakipo sawa, ile morali wanayokuwa nayo uwanjani, imepotea. Tungeanzia hapo but wapenda mpira lawama ni kocha tu...
 
Baada ya mechi 2 za Yanga na Al hilal nikaona nisubiri mechi ya leo ili nifanye hitimisho km kweli Nabi ana uwezo wa kuiwezesha Yanga kufanya vzr kimataifa au laa. Nisema tu Yanga wasitarajie maajabu yoyote kutoka kwa huyu Profesa aliye-specialize kwenye kushinda mechi za ndani. Hebu tuache rekodi ziongee kwa kutazama mechi za kimataifa ambazo Nabi kaiongoza Yanga.
1.Yanga VS plateu 0:1 lose
2.Plateu VS Yanga 1:0 lose
3.Yanga VS Al hilal 1:1 draw
4.Al hilal VS Yanga 1:0 lose
5.Yanga VS Club Africain 0:0 draw
Next.....??? Mimi Natabiri kipigo.

Mechi za kirafiki kimataifa Yanga Day.
6.Yanga VS Zanaco 1:2 lose
7.Yanga VS Vipers. 0:2 lose

Kati ya mechi saba Nabi kashinda mechi moja tu tena kwa mbinde. Hii ni rekodi mbaya kabisa kwa timu kubwa km Yanga.Mpaka hapo kwanini nisihitimishe kuwa huyu ni profesa wa mechi za ndani pekee?

Jana niliandika uzi kuonya km Yanga watacheza vile walivyocheza dhidi ya Al hilal kwa staili ya polepole( slow),hawatoweza kamwe kumfunga Club Africain. Cha ajabu leo wamecheza vile vile hali iliyofanya kutotengeneza shambulizi lolote la maana kwa dk zote 90.

Yanga wanacheza kwa kueleweka kuanzia kwa Diara hadi katikati ya uwanja. Baada ya hapo kila mtu anaanza kucheza anavyojua. Huoni timu ikicheza kwa mpangilio maalamu. Wakuamua kupiga chenga atapiga, wakuamua kukimbia na mpira atakimbia nao.Wa kupiga juu atapiga. Hapo ndipo nilipohitimisha kwa kusema Nabi hana uwezo wa mechi za kimataifa.

Sisemi afukuzwe ila Yanga waangalie malengo yao. Je malengo ni kuendelea kushinda ligi kuu pekee au wanataka kumfuata mtani wao kule aliko? Kazi ni kwao wenyewe wataamua.

Ni hayo tu kwa sasa.
Umesema vyema.
Japo kiuhalisia uchezaji wa Yanga msimu huu, pamoja na kwamba unafanana na msimu uliopita, intensity ni ya kiwango cha chini mno. Wachezaji hawafiki kwenye maeneo kwa wakati.
Ukitafuta mchezaji ambaye hajashuka utendaji kazi uwanjani kulinganisha na msimu uliopita, kwa sasa ni wa kutafuta. Labda Job, labda Kibwana, labda Moloko.

Uchezaji wa Yanga au tuseme mbinu za Nabi ni wa kutabirika sana. Wanashambulia polepole sana hivyo wanawapa timu pinzani muda wa kutosha kujipanga vizuri na kurekebisha makosa yao kama yalikuwepo. Kwenye mpira wa miguu unatumia makosa ya mpinzani au kumlazimisha kufanya makosa ili umfunge. Sasa kama unampa nafasi ya kujipanga utamfunga kwa urahisi?

Goal threat kwa yanga ni kwa nani? na hasa viwango vya wachezaji wa timu pinzani vikiwa sawa au juu ya Yanga. Labda Mayele. Labda Feisal. Mwingine nani? Usiseme Aziz Ki. Kwenye open play shooting accuracy yake ni mbovu sana tegemea off target kuliko on target.
Utaanza kujiuliza mbona NBC Premier League Yanga ina unbeaten? Team nyingi za ndani zina wachezaji wenye unora wa chini kuliko wachezaji wa Yanga. Kwa sababu ya tofauti ya ubora, timu wachezaji wa timu pinzani hupoteza concetration ndio maana Yanga mara nyingi inapata matokeo kipindi cha pili. Lakini inapata shida kwa timu zinazocheza kwa intensity kubwa (eg. mexhi dhidi ya KMC, Geita ) au zenye wachezaji wa ubora unaoelekeana (eg. mechi dhidi ya Simba, Azam)
 
Kuna shida mahala fulani, ndiyo maana nasema tusimtupie lawama zote Nabi, ana za kwake ila si zote. Kwa wachezaji zinawaangukia asimia kubwa kuna kitu hakipo sawa, ile morali wanayokuwa nayo uwanjani, imepotea. Tungeanzia hapo but wapenda mpira lawama ni kocha tu...
Nakubaliana na wewe
 
Umesema vyema.
Japo kiuhalisia uchezaji wa Yanga msimu huu, pamoja na kwamba unafanana na msimu uliopita, intensity ni ya kiwango cha chini mno. Wachezaji hawafiki kwenye maeneo kwa wakati.
Ukitafuta mchezaji ambaye hajashuka utendaji kazi uwanjani kulinganisha na msimu uliopita, kwa sasa ni wa kutafuta. Labda Job, labda Kibwana, labda Moloko.

Uchezaji wa Yanga au tuseme mbinu za Nabi ni wa kutabirika sana. Wanashambulia polepole sana hivyo wanawapa timu pinzani muda wa kutosha kujipanga vizuri na kurekebisha makosa yao kama yalikuwepo. Kwenye mpira wa miguu unatumia makosa ya mpinzani au kumlazimisha kufanya makosa ili umfunge. Sasa kama unampa nafasi ya kujipanga utamfunga kwa urahisi?

Goal threat kwa yanga ni kwa nani? na hasa viwango vya wachezaji wa timu pinzani vikiwa sawa au juu ya Yanga. Labda Mayele. Labda Feisal. Mwingine nani? Usiseme Aziz Ki. Kwenye open play shooting accuracy yake ni mbovu sana tegemea off target kuliko on target.
Utaanza kujiuliza mbona NBC Premier League Yanga ina unbeaten? Team nyingi za ndani zina wachezaji wenye unora wa chini kuliko wachezaji wa Yanga. Kwa sababu ya tofauti ya ubora, timu wachezaji wa timu pinzani hupoteza concetration ndio maana Yanga mara nyingi inapata matokeo kipindi cha pili. Lakini inapata shida kwa timu zinazocheza kwa intensity kubwa (eg. mexhi dhidi ya KMC, Geita ) au zenye wachezaji wa ubora unaoelekeana (eg. mechi dhidi ya Simba, Azam)
Aisee umetisha sana mkuu. Kwanini usiombe kazi EFM kuwaondoa wale wachambuzi wa mchongo kina Jemedari? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Upo sahihi kabisa
Nabi mbinu za kimataifa Hana
Ila mkuu hujaweka mechi ya zalani .
Kwa nn Nabi anapenda kumuanzisha kisinda ,
Kisinda kaisha anatakiwa asugue banchi tuu
Huyo Nabi mnayesema hana mbinu za kimataifa ana medali ya dhahabu kwenye mkoba wake baada ya kutwaa ubingwa wa shirikisho Afrika akiwa na As Leopard, timu ambayo haikuwa imechukua ubingwa wowote wa Afrika tangu kuundwa kwake.
Nabi ameshaingia fainali na kupoteza katika haya haya mashindano ya kimataifa mnayosema hana mbinu nayo.
Aliwahi pia kufika nusu fainali. Hapo uhalali wa kusema hana mbinu za kimataifa tunatoa wapi? Je tatizo ni Nabi au Yanga yenyewe?
Yanga imeingia makundi Afrika mara tatu na haikufanya vizuri kwenye makundi ukilinganisha na Simba ambayo imeingia makundi mara nne na kati ya hizo 3 imefanya vizuri, tunasubiri tuone hii ya nne watafanya nini
 
Simba keshachezea khamsa khamsa za kutosha mpaka leo hii unaona Simba kuingia makundi sio ajabu tena.

Yanga lazima wakubali kwanza kupitia magumu.
 
Hawa utopolo ovyo kabisa, sasa tutaanza kuamini huku kwenye NBC league wanashinda kwa ujanja ujanja wa kuhonga marefa na wachezaji wa timu pinzani
Kama kuwafunga ni rahisi wafungeni nyie basi uko kwenye nbc league. Kwani lazima wafungwe na timu zingine
 
Simba keshachezea khamsa khamsa za kutosha mpaka leo hii unaona Simba kuingia makundi sio ajabu tena.

Yanga lazima wakubali kwanza kupitia magumu.
Umeongea ukweli ndugu, bado kuna technical know-how za michuano ya kimataifa yanga hana lakini sio kwamba timu mbovu al hilal alipaki basi game zote mbili jana waarabu walipaki basi na kujiangusha tu kupoteza muda shida inakuja kwa yanga anaposes mpira ila kupenya ngome ya adui ndo shida inapoanzia
 
Hizo ni hasira tu na zote mnamuangushia Nabi... Bado ana nafasi ya kuunda kikosi next time kwa mechi za kimataifa. Kosa lake ni kuwaanzisha kina Kisinda... akiambiwa atajirekebisha.
Kisinda anatakiwa kusugua benchi.
Morison asianze aingie kama sub maana huwa hakabi pia huwa na impact akiingia kama sub.
Fei acheze namba kumi na siyo Ki Aziz.
Babu kaju aanze badala ya Aucho.
Makambo asugue benchi na baadae atafute timu pamoja na mwanariadha Kisinda.
Moloko aanze kila mechi kama hana changamoto yoyote.
 
Umeongea ukweli ndugu, bado kuna technical know-how za michuano ya kimataifa yanga hana lakini sio kwamba timu mbovu al hilal alipaki basi game zote mbili jana waarabu walipaki basi na kujiangusha tu kupoteza muda shida inakuja kwa yanga anaposes mpira ila kupenya ngome ya adui ndo shida inapoanzia
Caf kule ukienda na maneno ya un beaten,mara sijui mabingwa wa kihistoria kule utachemsha.kule panataka watu wafanye kazi kila point inayohusu timu kupata ushindi kuanzia saikorojia ya wachezaji,timu,kocha,viongozi,mashabiki n,k
 
Baada ya mechi 2 za Yanga na Al hilal nikaona nisubiri mechi ya leo ili nifanye hitimisho km kweli Nabi ana uwezo wa kuiwezesha Yanga kufanya vzr kimataifa au laa. Nisema tu Yanga wasitarajie maajabu yoyote kutoka kwa huyu Profesa aliye-specialize kwenye kushinda mechi za ndani. Hebu tuache rekodi ziongee kwa kutazama mechi za kimataifa ambazo Nabi kaiongoza Yanga.
1.Yanga VS Rivers United 0:1 lose
2.Rivers United VS Yanga 1:0 lose
3.Yanga VS Al hilal 1:1 draw
4.Al hilal VS Yanga 1:0 lose
5.Yanga VS Club Africain 0:0 draw
Next.....??? Mimi Natabiri kipigo.

Mechi za kirafiki kimataifa Yanga Day.
6.Yanga VS Zanaco 1:2 lose
7.Yanga VS Vipers. 0:2 lose

Kati ya mechi saba Nabi kashinda mechi moja tu tena kwa mbinde. Hii ni rekodi mbaya kabisa kwa timu kubwa km Yanga.Mpaka hapo kwanini nisihitimishe kuwa huyu ni profesa wa mechi za ndani pekee?

Jana niliandika uzi kuonya km Yanga watacheza vile walivyocheza dhidi ya Al hilal kwa staili ya polepole( slow),hawatoweza kamwe kumfunga Club Africain. Cha ajabu leo wamecheza vile vile hali iliyofanya kutotengeneza shambulizi lolote la maana kwa dk zote 90.

Yanga wanacheza kwa kueleweka kuanzia kwa Diara hadi katikati ya uwanja. Baada ya hapo kila mtu anaanza kucheza anavyojua. Huoni timu ikicheza kwa mpangilio maalamu. Wakuamua kupiga chenga atapiga, wakuamua kukimbia na mpira atakimbia nao.Wa kupiga juu atapiga. Hapo ndipo nilipohitimisha kwa kusema Nabi hana uwezo wa mechi za kimataifa.

Sisemi afukuzwe ila Yanga waangalie malengo yao. Je malengo ni kuendelea kushinda ligi kuu pekee au wanataka kumfuata mtani wao kule aliko? Kazi ni kwao wenyewe wataamua.

Ni hayo tu kwa sasa.
Watu mkishiba makande mnajiona wachambuzi
 
Baada ya mechi 2 za Yanga na Al hilal nikaona nisubiri mechi ya leo ili nifanye hitimisho km kweli Nabi ana uwezo wa kuiwezesha Yanga kufanya vzr kimataifa au laa. Nisema tu Yanga wasitarajie maajabu yoyote kutoka kwa huyu Profesa aliye-specialize kwenye kushinda mechi za ndani. Hebu tuache rekodi ziongee kwa kutazama mechi za kimataifa ambazo Nabi kaiongoza Yanga.
1.Yanga VS Rivers United 0:1 lose
2.Rivers United VS Yanga 1:0 lose
3.Yanga VS Al hilal 1:1 draw
4.Al hilal VS Yanga 1:0 lose
5.Yanga VS Club Africain 0:0 draw
Next.....??? Mimi Natabiri kipigo.

Mechi za kirafiki kimataifa Yanga Day.
6.Yanga VS Zanaco 1:2 lose
7.Yanga VS Vipers. 0:2 lose

Kati ya mechi saba Nabi kashinda mechi moja tu tena kwa mbinde. Hii ni rekodi mbaya kabisa kwa timu kubwa km Yanga.Mpaka hapo kwanini nisihitimishe kuwa huyu ni profesa wa mechi za ndani pekee?

Jana niliandika uzi kuonya km Yanga watacheza vile walivyocheza dhidi ya Al hilal kwa staili ya polepole( slow),hawatoweza kamwe kumfunga Club Africain. Cha ajabu leo wamecheza vile vile hali iliyofanya kutotengeneza shambulizi lolote la maana kwa dk zote 90.

Yanga wanacheza kwa kueleweka kuanzia kwa Diara hadi katikati ya uwanja. Baada ya hapo kila mtu anaanza kucheza anavyojua. Huoni timu ikicheza kwa mpangilio maalamu. Wakuamua kupiga chenga atapiga, wakuamua kukimbia na mpira atakimbia nao.Wa kupiga juu atapiga. Hapo ndipo nilipohitimisha kwa kusema Nabi hana uwezo wa mechi za kimataifa.

Sisemi afukuzwe ila Yanga waangalie malengo yao. Je malengo ni kuendelea kushinda ligi kuu pekee au wanataka kumfuata mtani wao kule aliko? Kazi ni kwao wenyewe wataamua.

Ni hayo tu kwa sasa.
kwanini usiajiriwe wewe mwenye mbinu uwe kocha wetu?
 
Baada ya mechi 2 za Yanga na Al hilal nikaona nisubiri mechi ya leo ili nifanye hitimisho km kweli Nabi ana uwezo wa kuiwezesha Yanga kufanya vzr kimataifa au laa. Nisema tu Yanga wasitarajie maajabu yoyote kutoka kwa huyu Profesa aliye-specialize kwenye kushinda mechi za ndani. Hebu tuache rekodi ziongee kwa kutazama mechi za kimataifa ambazo Nabi kaiongoza Yanga.
1.Yanga VS Rivers United 0:1 lose
2.Rivers United VS Yanga 1:0 lose
3.Yanga VS Al hilal 1:1 draw
4.Al hilal VS Yanga 1:0 lose
5.Yanga VS Club Africain 0:0 draw
Next.....??? Mimi Natabiri kipigo.

Mechi za kirafiki kimataifa Yanga Day.
6.Yanga VS Zanaco 1:2 lose
7.Yanga VS Vipers. 0:2 lose

Kati ya mechi saba Nabi kashinda mechi moja tu tena kwa mbinde. Hii ni rekodi mbaya kabisa kwa timu kubwa km Yanga.Mpaka hapo kwanini nisihitimishe kuwa huyu ni profesa wa mechi za ndani pekee?

Jana niliandika uzi kuonya km Yanga watacheza vile walivyocheza dhidi ya Al hilal kwa staili ya polepole( slow),hawatoweza kamwe kumfunga Club Africain. Cha ajabu leo wamecheza vile vile hali iliyofanya kutotengeneza shambulizi lolote la maana kwa dk zote 90.

Yanga wanacheza kwa kueleweka kuanzia kwa Diara hadi katikati ya uwanja. Baada ya hapo kila mtu anaanza kucheza anavyojua. Huoni timu ikicheza kwa mpangilio maalamu. Wakuamua kupiga chenga atapiga, wakuamua kukimbia na mpira atakimbia nao.Wa kupiga juu atapiga. Hapo ndipo nilipohitimisha kwa kusema Nabi hana uwezo wa mechi za kimataifa.

Sisemi afukuzwe ila Yanga waangalie malengo yao. Je malengo ni kuendelea kushinda ligi kuu pekee au wanataka kumfuata mtani wao kule aliko? Kazi ni kwao wenyewe wataamua.

Ni hayo tu kwa sasa.
Nyoooo, umeumbuka chaku bimbi.
 
Back
Top Bottom