JumaKilumbi
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 432
- 507
Mkuu unakiuka misingi ya ‘Logic’Hivyo vitabu kama ni uongo visingaliuzwa na kanisa na Serikali ingalipiga marufuku. Kuna vitabu kama Zanzibar Revolution cha John Okello kilizuiwa kuuwa, kitabu cha Satanic verses kimepigwa marufuku . Wewe Kama unaona Mapadri walidanganya endelea kuamini . Uhuru Huo unao
Hatuongelei misingi ya logic , ukitaka fungua uziMkuu unakiuka misingi ya ‘Logic’
Sijui kama unafahamu hilo.
Mkuu mimi nimeuliza swali, huenda sikuelewa jibu lako.Wapi nilikuambia kanuni z ujamaa wa Nyerere , ndio wasomi wa Leo wa University ya Dar mlivyo ?
Niliokuandikia Mimi sikusoma ujamaa wa Nyerere wala sina haja nao nimeusoma kwa matendo yake ulivyotufikisha hii leoMkuu mimi nimeuliza swali, huenda sikuelewa jibu lako.
Ni ipi kanuni/misingi ya ujamaa wa Mwalimu?
(kama hujui hakuna ubaya kusema hujui, sio dhambi)
Sasa tutajadili nini hatutaweza kufikiri kiyakinifu mkuu?Hatuongelei misingi ya logic , ukitaka fungua uzi
DahNiliokuandikia Mimi sikusoma ujamaa wa Nyerere wala sina haja nao nimeusoma kwa matendo yake ulivyotufikisha hii leo
Wewe ulitaka ushahidi wa Nyerere namna alivyoupiga vita uislamu nikakuwekea video Padri wa Kanisa lake kaandika , wewe unasema si kweli ni uongo , nimekuambia Kama niuongo si serikali wala kanisa ilipinga na kuvizuia vitabu. Sasa unaleta mambo ya logic . Logic ya kazi gani hapa na kila kitu kilo open .Sasa tutajadili nini hatutaweza kufikiri kiyakinifu mkuu?
Tutajenga vipi hoja nzuri bila kufuata ‘Logic’ na misingi yake mkuu?
Mimi naona ‘Logic’ ndiyo itatusaidia kujenga hoja za kweli bila kupendelea mkuu.
Dah
Kwahiyo unauelewaje ujamaa toka miaka hiyo au ndiyo unaelewa kuwa ni mfumo ulioletwa kuwaonea Waislam?
(Nimeuliza tu mkuu)
Mkuu hakuna mahali nimesema ni uongo (kama ipo iweke hapa).Wewe ulitaka ushahidi wa Nyerere namna alivyoupiga vita uislamu nikakuwekea video Padri wa Kanisa lake kaandika , wewe unasema si kweli ni uongo , nimekuambia Kama niuongo si serikali wala kanisa ilipinga na kuvizuia vitabu. Sasa unaleta mambo ya logic . Logic ya kazi gani hapa na kila kitu kilo open .
Mkuu hakuna mahali nimesema ni uongo (kama ipo iweke hapa).Wewe ulitaka ushahidi wa Nyerere namna alivyoupiga vita uislamu nikakuwekea video Padri wa Kanisa lake kaandika , wewe unasema si kweli ni uongo , nimekuambia Kama niuongo si serikali wala kanisa ilipinga na kuvizuia vitabu. Sasa unaleta mambo ya logic . Logic ya kazi gani hapa na kila kitu kilo open .
Nilimsikiliza vizuri mkuu, ila nina’question’ hoja zake na wala sizipingi kama unavyofikiri.Itakuwa yule Padri hukumsikiliza vizuri kwa mapenzi yako kwa Nyerere . Tulia umsikilize kwa kituo , Usi panic
Nilimsikiliza vizuri mkuu, ila nina’question’ hoja zake na wala sizipingi kama unavyofikiri.
Mkuu hakuna mahali nimesema ni uongo (kama ipo iweke hapa).
Pili hatuwezi kuamini moja kwa moja maneno ya kweny video na ya bwana Smith mkuu. Tunahitaji kupata hoja za upande mwingine na ‘case studies’ (kama zipo) ili kuthibitisha au kubatilisha madai ya Smith na wenziwe.
Mkuu kwahiyo leo nikiwa padri kisha nikaandika kitabu kuwa Serikali inawapendelea waislam, hiko kitabu kisipifwe marufuku na serikali au msikiti je, Utaamini nilichoandika?
Kipimo chako cha ukweli ni kupigwa au kutopigwa marufuku na serikali au kanisa?
Kama ndiyo basi kipimo chako cha ukweli ni dhalili sana.
Logic ndiyo mkombozi katika hili mkuu.
Kama huzipingi hivi unavyoandika ni kitu gani ?Nilimsikiliza vizuri mkuu, ila nina’question’ hoja zake na wala sizipingi kama unavyofikiri.
Ni wapi sasa nilisema ni uongo? MkuuNinachotaka toka kwako ni tufikiri kitunduifu (critically) tusiyachukue maneno ya Smith na wenzie kuwa ni kweli tupu.
Ninataka tuyapime, na hatuwezi pima kama hatuna data za upande wa pili zinazojaribu kuthibitisha vinginevyo mkuu.
Tupate data za pande zote kisha ndiyo tuamini ipi kweli ipi uongo.
Hayo ni maneno yako
Ndiyo sipingi, ila ninauliza uhalali wa hoja zako mkuuKama huzipingi hivi unavyoandika ni kitu gani ?
UliandikaNdiyo sipingi, ila ninauliza uhalali wa hoja zako mkuu
😂😂😂aisee,Lovelovie njoo uone huku....Leo ninacho momKatika ‘Logic’ hiyo hoja yako ni uzushi unaoitwa ‘Post hoc ergo propter hoc’
Hatuwezi kuegemea kuwa kwakuwa Kabisa halikukataa basi ni kweli.
Hatuwezi sema ati kwakuwa Gavana amesema To yeye hajafundisha leo na To yeye hajathibitisha wala kupinga wa kukasirika kwahilo basi tuhitimishe kuwa To yeye ni kweli hajafundisha.
😂😂😂mkorofi weweNdiyo sipingi, ila ninauliza uhalali wa hoja zako mkuu
C eti asilimia 60,no Tanganyika na utalii Zanzibar hakuna mtalii ataenda kurisk maisha yake Kwa magaidiZanzibar kuna utalii?? Kuona magofu yaliyopakwa rangi nyeupe?
https://www.jamiiforums.com/data/video/4833/4833526-c8fbafca758465cf20aad622e0486478.mp4C eti asilimia 60,no Tanganyika na utalii Zanzibar hakuna mtalii ataenda kurisk maisha yake Kwa magaidi