Naelewa si woteHapa mkuu usiwajumuishe wasomi wote, hapa unakabiliana na mimi Juma Kilumbi mwenye elimu ndogo tu.
Uwezo wangu wa kufikiri hautoshi kutoa picha ya wasomi wote wa UDSM.
Sisi hatuongelei ujamaa wa Algeria,Libya au kokote tunasoma namna Peter Smith alivyotuandikia kuhusu Nyerere na namna Kanisa lilivyomtumia kupiga vita uislamu na ukomunistiMkuu, usipoyachukilia kama kweli tupu inatuweka huru kutokukubali kila alichosema.
Tusipoyachukulia kama kweli tupu maana yake tunajipa nafasi ya kuyatafakari na kuupata ukweli.
Tatizo langu kubwa na wewe hapa ni kwamba unayaamini maneno ya Smith na wenzie kama kweli tupu na chochote dhidi yake ni uongo.
Ilhali mimi nayaona kama maoni yake ambayo siyakubali wala siyapingi ila ninajipa nafasi ya kuyachunguza ili kuupata ukweli tupu. Na ndiyo maana nilikwambia tukibaini yana ukweli niko tayari kubadili msimamo wangu.
Sijui kama umenielewa hapo mkuu.
Kwa kujipa nafasi hapo sasa ndiyo tunaanza ku-question uhalisia wa kilichotokea si kwa kuegemea kwenye maneno yake pekee bali ni kwa kuyaangalia mambo kama yalivyo. Maneno yake tunayatumia kama dokezo katika kuutafuta ukweli.
- Tunaangalia ujamaa ni nini na misingi yake (achilia mbali madai yake kuwa ni mfumo wa kanisa)
- Tunaangalia ktk ufilisi je, Waislam walilengwa kwa dini zao au ilikuaje?
- Je, Wakristo walifilisiwa au la?
- Je, ujamaa ktk nchi zenye Waislam wengi nani aliupeleka? Na kumfilisi nani?
- Je,, ktk nchi zenye Wakristo wengi nani aliupeleka na ili kumfilisi nani?
Tukipata majibu ya maswali haya tunakuwa kwenye nafasi nzuri aidha kukubali madai ya Smith kuwa kanisa ndiyo iliratibu ujamaa au la.
Mkuu ungeufahamu ujamaa kimsingi tusingepata tabu kuutenganisha na kanisa hivi sasa.
Ujamaa si rafiki kwa dini yeyote ila chama cha kijamaa na viongozi wake waliojipa nafasi ya Mungu mtu.
Tupo pamoja mkuu?
Mweee!! damu gani ya zeruzeru yule? kalemavu ka ngozi!! hako ka yesu kenu, ka-Arabu! kauza watumwa, kabepari, kapenda sifa za kijinga, kabeberu, kakoloni kale kam- jamaa!!Umeshiba damu ya yesu?
Nyerere yuko sahihi km mliuza watu kwa mateso! ! kwa nini nyie msiteswe?? unasahau Muoshwa huoshwa, tulieni tu nyau nyie!! hakuna namna na bado, nikija mie mtakoma........tunamwoma Nyerere ni mhusika Mkuu wa mateso yetu na Peter Smith hana alichokosea
Endelea kunywa damu ya Yesu, ndiyo furaha tu hizo za birthday zinakuchenguwa?Mweee!! damu gani ya zeruzeru yule? kalemavu ka ngozi!! hako ka yesu kenu, ka-Arabu! kauza watumwa, kabepari, kapenda sifa za kijinga, kabeberu, kakoloni kale kam- jamaa!!
halafu karemboo! sijui kalitundikwaje Msalabani? na uzuri wote ule? kanapenda sifa za kuabudiwa na watumwa hakoo! hee! ...yaani kule usukumani ni mali, faster wasukuma wanachukua viungo ajili ya malighafi!
Sijui kakoje tamaa zimekajaa tuu!! wee! subiri tu, kakijipendekeza wala hata sikapigi makofi, nakaiba nakapeleka Shinyanga tu hapo, nakunja changu huyoo, hakataamini,
na ili kaje kakusimulie vizuri!! wee subiri tu si mnaongeaga?? make kaarabu kenzio kale....weye kwa kuwa unapenda sana waarabu unakaabudu!
Kwani Leo mchungaji alikukosha kanisani kwa damu ya Yesu?Nyerere yuko sahihi km mliuza watu kwa mateso! ! kwa nini nyie msiteswe?? unasahau Muoshwa huoshwa, tulieni tu nyau nyie!! hakuna namna na bado, nikija mie mtakoma........
Alaaa! yaani wazanzi bara uelewa ni zero!..sinywi damu ya muarabu mie! nyie ndo mnatamani damu ya wa Africa wetu! tangu zamani kwanza weye ni mzungu tu! na muafirica huna lolote!Endelea kunywa damu ya Yesu, ndiyo furaha tu hizo za birthday zinakuchenguwa?
acha mambo yako weye Mzungu pori!Kwani Leo mchungaji alikukosha kanisani kwa damu ya Yesu?
Basi endelea kulambishwa asali Lumumba na mwarabuAlaaa! yaani wazanzi bara uelewa ni zero!..sinywi damu ya muarabu mie! nyie ndo mnatamani damu ya wa Africa wetu! tangu zamani kwanza weye ni mzungu tu! na muafirica huna lolote!
wenzako kule Morrocco wameukataa uafrica wanataka uzungu!! wazungu wamewakataa!! na africa hatuwataki tena!! sasa hawana pa kwenda!!
Zbr mnawasema vibaya tu, I have bn there several times , mbona sijayaona hayo mnayolalamikia.Zanzibar Wana nn cha ajabu ? Waacheni msifike kabisa yaani mshajua tabia za watu bado mnawafuata tu ..Mi Zanzibar na kanda ya kaskazini ni mwiko kufika wanajisikia sana japo nishafika ila nikawajua tabia zao yaani wanafanana wakikujua tu unatoka nje wa jamii zao umeisha.
Afadhali ulambe asali ya mu-Africa mwenzangu! kuliko kuwa meneja kwa mtu anaye ni dhalilisha!Basi endelea kulambishwa asali Lumumba na mwarabu
Asali anakulambisha mwarabu Lumumba unaita mwafrika ? Kweli mwalabu kakuroga LumumbaAfadhali ulambe asali ya mu-Africa mwenzangu! kuliko kuwa meneja kwa mtu anaye ni dhalilisha!
hata hujui mwarabu ni nani! lini wapi kwa nini!!......... umekariri madrassa tu!! nyie ni wazungu! siyo waarabu hili jina la kiarabu mmeliiba!! rudini Ulaya kwa baba zenu hamataki mnataka hapa!! lilibaki ni kuwachapa tu bakora mwende kwenu!Asali anakulambisha mwarabu Lumumba unaita mwafrika ? Kweli mwalabu kakuroga Lumumba
Huyo Mwenyekiti wako ni mwafrika? Si anakulambisha asali , unakuja kujamba humu kwa jeurihuku hata unachokiandika hakijulikanihata hujui mwarabu ni nani! lini wapi kwa nini!!......... umekariri madrassa tu!! nyie ni wazungu! siyo waarabu hili jina la kiarabu mmeliiba!! rudini Ulaya kwa baba zenu hamataki mnataka hapa!! lilibaki ni kuwachapa tu bakora mwende kwenu!
Kwani Mombasa iliyokuwa ni sehemu ya Zanzibar watu hawajaingiliana zaidi ya Tanganyika? Mbona imekwenda Kenya na ni salama? Mbona wamasai wa Kenya na Tanganyika ni kabila moja na nchi ni mbili , the same kwa wajaluo na makabila mengine?Nakumbuka zamani sekondari Mwalimu alituuliza Muungano ukivunjika Tanganyika tutapata hasara gani? Tukajadili weee, tukahitimisha kuwa tutamisi tu jina Tanzania ambalo kimsingi hata ukivunjika tunaweza endelea kulitumia. Huu Muungano ni wa kindugu na prestige zaidi kuliko faida za kiuchumi na kiusalama kama wanasiasa wanavyo dai. Yote kwa yote tulipofikia Muungano kuuvunja ni ngumu, kuna mwingiliano mkubwa sana wa watu wa bara na visiwani kwa sasa.
Nyerere kwenye huu muungano alifanya makosa mengi na kutudhulumu Wabara, Lakini hayo makosa yameshafanyika tunayajua ni part of History, sisi ndio tunao takiwa kujaribu kusawazisha.Kumlaumu mchonga kwa mapungufu yetu kujikomboa ni upoyoyo wa hali ya juu.
Tunayo haki ya kukataa na kushinikiza lolote. Migomo, maandamano na mikutano ya kisiasa ni haki yetu kwa mujibu wa katiba.
Tumlaumu mchonga kwa sisi wenyewe kushindwa kuisimamia katiba? Kwa mwendo huu hata tukiwa na katiba yoyote tusipoangalia tutaendelea kuwa wapuuzi tu.
Tujilaumu sisi wenyewe kwa uzezeta wetu ndugu kwani:
Vyama vya Siasa havijui au vimesahau wajibu wao?