Tuwe wakweli! Mchina alishawahi kutoa msaada gani kwa nchi za kiafrica zaidi ya kutuuzia vitu vyenye ubora feki!

Tuwe wakweli! Mchina alishawahi kutoa msaada gani kwa nchi za kiafrica zaidi ya kutuuzia vitu vyenye ubora feki!

Tanzania, kipindi cha Kikwete, tulikopa na kuweka rehani gesi yetu yooote ya Mtwara, na sasa inaenda China bure, huku sisi tukiendelea kupikia kuni na mkaa maana gesi haikamatiki kwa Watanzania wengi, hasa vijijini. Mchina aliuziwa Bandari ya Bagamoyo chini ya Kikwete na kupewa mkataba wa miaka 99 bila kulipa kodi kwa masharti dharimu kabisa—masharti ambayo Magufuli aliyakataa na kuupiga chini huo mradi.
una uthibitisho wa unayoyazungumza?
 
Baada ya Trump kusitisha misaada Afrika, kumetokea sintofahamu nyingi zikisema, "Haya sasa, huyo Mchina ajitokeze!"

Ukweli ni kwamba Mchina ni mlaghai na mpigaji kuliko hao mabeberu. Angalau, pamoja na kutupiga, wametuwezesha na sisi mdogomdogo kusogea! Nchi zote zilizokopa kwa Mchina na kushindwa kurejesha zimejikuta zikinyang’anywa mali zao, kama ilivyotokea Zambia na Kenya, ambapo viwanja vyao vya ndege vimechukuliwa na kumilikiwa na Mchina mpaka watakaporudisha senti yao ya mwisho.

Tanzania, kipindi cha Kikwete, tulikopa na kuweka rehani gesi yetu yooote ya Mtwara, na sasa inaenda China bure, huku sisi tukiendelea kupikia kuni na mkaa maana gesi haikamatiki kwa Watanzania wengi, hasa vijijini. Mchina aliuziwa Bandari ya Bagamoyo chini ya Kikwete na kupewa mkataba wa miaka 99 bila kulipa kodi kwa masharti dharimu kabisa—masharti ambayo Magufuli aliyakataa na kuupiga chini huo mradi.

Kwa ufupi, hakuna mashetani kwenye vita vya uchumi vya unyonyaji kama China. Bora mzungu, ana utu—siyo Mchina! Kwa hiyo, kama Mmarekani katuachia Mchina, basi tupambane naye! Twaafwaa!
Pumbavu wewe.
Unapewa peremende unatumwa kucheza mabeberu wanakula tunda kimasihara/rasilimali hadi umezoea ndio maana kila njemba inayokatiza mbele ya mama yako unataka upewe tena peremende ukacheze kumbe hujui peremende unazopewa mamaako anazilipia 😫

Mnatia hasira sana nyinyi ombaomba
 
Bila China ukapuku na ufukara ungekuwa wa ajabu.
Vitiu vingi vimepatikana kutokana na uwepo wa China, vifaa ya ujenzi. Machine, mawasiliano ,software nk. Sasa hivi wazungu wakiweka vikwanzo kuna mbadala wa China.
Tukumbuke miaka ya 2000 kurudi nyuma, aisee ni aibu kubwa. Rejeeni picha za mwaka 90, wakati huo wazungu wanateknolojia mda mrefu.
Ikitokea mchina akate bidhaa zake Afrika inarudi miaka ya 2000. Simu za kitochi, internet hakuna.
Bidhaa tunazopata kutoka china zinazidi thamani msaada wa mzungu.
Mchina ni baraka ya MUNGU mzungu ni Baraka ya Shetani.
 
Pumbavu wewe.
Unapewa peremende unatumwa kucheza mabeberu wanakula tunda kimasihara/rasilimali hadi umezoea ndio maana kila njemba inayokatiza mbele ya mama yako unataka upewe tena peremende ukacheze kumbe hujui peremende unazopewa mamaako anazilipia 😫

Mnatia hasira sana nyinyi ombaomba
Jina lako lenyewe LA kichina.
 
Japan muondoe Japan ameanzisha hadi shirika LA mashirikiano LA kimataifa LA Jaica- Japan international cooperation agency, linatoa misaada kwenye various spheres hadi kwenye customs kule tra.
Korea nao hivyo hivyo wana Koica Yao inasaidia
China ina shirika gani hapa Tanzania
Hivi umesoma na kuelewa kweli nilichoandika au kukurupuka kama mwehu

Kukusaidia kuondoa ujinga wako Chinaaid anza na TAZARA

Halafu acha kuwa mpumbavu kupenda misaada kama mlemavu.
 
Bila China ukapuku na ufukara ungekuwa wa ajabu.
Vitiu vingi vimepatikana kutokana na uwepo wa China, vifaa ya ujenzi. Machine, mawasiliano ,software nk. Sasa hivi wazungu wakiweka vikwanzo kuna mbadala wa China.
Tukumbuke miaka ya 2000 kurudi nyuma, aisee ni aibu kubwa. Rejeeni picha za mwaka 90, wakati huo wazungu wanateknolojia mda mrefu.
Ikitokea mchina akate bidhaa zake Afrika inarudi miaka ya 2000. Simu za kitochi, internet hakuna.
Bidhaa tunazopata kutoka china zinazidi thamani msaada wa mzungu.
Mchina ni baraka ya MUNGU mzungu ni Baraka ya Shetani.
Sababu kubwa ni kubadilika kwa mfumo wa uchumi, ndio ilisababisha watu kuagiza bidhaa kila sehemu,
 
Hivi umesoma na kuelewa kweli nilichoandika au kukurupuka kama mwehu

Kukusaidia kuondoa ujinga wako Chinaaid anza na TAZARA
-Hilo china aid lina miradi mingi kiasi gani compared to USAID?
- aliyejenga reli ya kati ni nani?
 
Tanzania, kipindi cha Kikwete, tulikopa na kuweka rehani gesi yetu yooote ya Mtwara, na sasa inaenda China bure, huku sisi tukiendelea kupikia kuni na mkaa maana gesi haikamatiki kwa Watanzania wengi, hasa vijijini
Ongeza sauti hapa, kuhusu JK maana gesi ya mtwara huwa haiongelewi kabisa huku huyo JK akijifanya ndio mastamind wa siasa za bongo.
 
-Matajiri wa kariakoo wanaOPT china kwa sababu ndio sehemu ya kupata vitu vilivyo bei chini na ni chini ya biashara.
-Kuhusu Ujenzi wa bandari, madaraja, barabara wachina wanapata tenda kwa sababu wana- quote kwa bei ndogo sana compared to Wazungu ambao wana-quote kwa bei kubwa and eventually wanatengeneza barabara chini ya kiwango kwa sababu bei ndogo.
- Wachina wengi wanalipa mishahara midogo sana, kwenye taasisi zao za kazi (unyonyaji wa kiwango kikubwa) compared to Wazungu wengi wao wanalipa vizuri, ulizia vibarua watakwambia kati ya mchina na mzungu nani ana heshimu sheria za kazi.
-
Kwenye Biashara hakuna msamiati wa kuopt!
Unanunua kitu unachoweza kukiuza,basi.
Mbona hatuendi kununua Marekani?..Kwa sababu bidhaa ya kimarekani utapiga nayo picha!
Hao vibarua wangekuwa wanataka malipo makubwa wasingeenda kwenye miradi ya wachina.
Hao wazungu quotation zao kubwa kwa sababu hata apartments zao wanataka za masaki na oysterbay!
Mchina akiamua analala site,kwenye tent!
 
Kwenye Biashara hakuna msamiati wa kuopt!
Unanunua kitu unachoweza kukiuza,basi.
Mbona hatuendi kununua Marekani?..Kwa sababu bidhaa ya kimarekani utapiga nayo picha!
Hao vibarua wangekuwa wanataka malipo makubwa wasingeenda kwenye miradi ya wachina.
Hao wazungu quotation zao kubwa kwa sababu hata apartments zao wanataka za masaki na oysterbay!
Mchina akiamua analala site,kwenye tent!
- KuOPT kupo, pale unapokuwa na opportunities nyingi lazima kuwe na option, na ndio maana ya biashara huria, bidhaa za ulaya na US zina ubora wa juu na ni ghali kwa kipato cha watanzania ndio maana wanaenda China ambapo kuna bidhaa za madaraja ya chini ambazo watanzania wanaweza kumudu.
-Kuhusu vibarua, ulipaji wa vibaru/wafanyakazi katika sector binafsi umetungiwa sheria, kasome Wage order (minimum wage order) hivyo hata kama vibarua wameenda wenyewe kwa wachina bado wanachina wana Wajibu wa kuheshimu sheria za kazi hususan sheria ya minimum wage yaani WAGE ORDER.
- Kuhusu kulala site au la itategemea na mradi, kuna miradi ambayo mkandarasi anajenga kambi anaishi huko huko kambini hiyo hata wazungu wanafanya Hali kadhalika wachina, hoja kuu ni ubora wa kazi.
 
Back
Top Bottom