Tuwe wakweli! Mchina alishawahi kutoa msaada gani kwa nchi za kiafrica zaidi ya kutuuzia vitu vyenye ubora feki!


Mii nilifikiri unasema, baada ya Trump kuachana na WHO pia kupunguza kwa kiwango kikubwa misaada kwa masikini. Waafrika wayanyeje? Sasa wewe unataka mChina afanye nini kwetu. Hilo halitatusaidia. Huyu naye anajitufuta kwa ajili ya watu wake.
 
Nina Star X tangu 2018
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…