Tuwe wakweli na tuache unafiki, kwa kikosi kile cha Azam nani anaweza kuthubutu kupata hata sare?

Tuwe wakweli na tuache unafiki, kwa kikosi kile cha Azam nani anaweza kuthubutu kupata hata sare?

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Timu la AZAM limejaa wachezaji wa viwango vya Kimataifa, jana tu mziki ulikuwa ule na bado kuna mijitu ya hatari haikucheza, kuna binadamu linaitwa Akaminko halikucheza, kuna jibaba Sidibe halikucheza, Bajana hakucheza, ina michezaji ya hatari iko kule Africa Kusini ikipatiwa matibabu.

Hawa watu hatari, winga Jibril winga Kipre Junior, benchi kuna Nado kuna Lyanga, kuna viungo akina Yannick Bangala Litombo.

Hawa watu walikosa kitu kimoja tu, mganga basi. Jana walikamatia njia zao zote wanazotumia kufunga watu na magoli ya kipuuzi.

Ndumba walimwekea Pacome watu wakala zote, walijifanya kama wanataka kumwekea Mudathir lakini wajanja walitonywa mapema, nyie Utopolo mpira hamna, makelele mengi sana, kumbe sangoma ndio anayewabeba, mpira mnacheza utadhani wanafunzi wa Sekondari ya Kisutu?
 
watoto wengi wa Azam wanavipaji sana mfano yaya bin zayd mwili mdogo ila kichwani akili nyingi Edward charles manyama anakaba balaa njoo kwa kipre junior huchuki mpira mguuni hadi uchape kiatu Fei Toto ndio balaa ana drive anapiga pasi anafunga anauwezo wa kuficha mpira ana uwezo wakupiga assit njoo kwa Pascal msindo anakaba hadi kivuli
 
Hivi yule winga wao mwenye mwili mkubwa jina lake silijui yuko wapi maana anapiga mpira mkubwa sana simuoni kabisa
 
Timu la AZAM limejaa wachezaji wa viwango vya Kimataifa, jana tu mziki ulikuwa ule na bado kuna mijitu ya hatari haikucheza, kuna binadamu linaitwa Akaminko halikucheza, kuna jibaba Sidibe halikucheza, Bajana hakucheza, ina michezaji ya hatari iko kule Africa Kusini ikipatiwa matibabu.

Hawa watu hatari, winga Jibril winga Kipre Junior, benchi kuna Nado kuna Lyanga, kuna viungo akina Yannick Bangala Litombo.

Hawa watu walikosa kitu kimoja tu, mganga basi. Jana walikamatia njia zao zote wanazotumia kufunga watu na magoli ya kipuuzi.

Ndumba walimwekea Pacome watu wakala zote, walijifanya kama wanataka kumwekea Mudathir lakini wajanja walitonywa mapema, nyie Utopolo mpira hamna, makelele mengi sana, kumbe sangoma ndio anayewabeba, mpira mnacheza utadhani wanafunzi wa Sekondari ya Kisutu?
kwani coastal walipataje sare?
 
Azam ingekuwa na makocha bora KWA wachezaji inaowasajili wangekuwa wanachukua kombe karibu kila mwaka. Ni nadra kusikia Azam wamesajili mchezaji mbovu. Mafundi watupu ila subiri msimu uchangaje.

Wangepata kocha wa mpira kadi,makontroo. Wangefika mbali
 
Back
Top Bottom